Bayern Munchen bingwa wa Ulaya msimu huu

Bayern Munchen bingwa wa Ulaya msimu huu

Will Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
4,897
Reaction score
7,074
Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.

Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli nyingi ikiwa Home/away.

Na kama Leroy Sane angetua Bayern nahisi wapinzani wasingeingiza timu uwanjani[emoji23][emoji16], kwangu namuona Coman ni weak link kwa Bayern (attacking wise)

Timu nyingi UEFA naona zinaungaunga, hazina form nzuri.

My prediction: Bayern München vs Manchester City final
 
Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.

Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli nyingi ikiwa Home/away.

Na kama Leroy Sane angetua Bayern nahisi wapinzani wasingeingiza timu uwanjani[emoji23][emoji16], kwangu namuona Coman ni weak link kwa Bayern (attacking wise)

Timu nyingi UEFA naona zinaungaunga, hazina form nzuri.

My prediction: Bayern München vs Manchester City final
Ngoja akutane na Barca
 
Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.

Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli nyingi ikiwa Home/away.

Na kama Leroy Sane angetua Bayern nahisi wapinzani wasingeingiza timu uwanjani[emoji23][emoji16], kwangu namuona Coman ni weak link kwa Bayern (attacking wise)

Timu nyingi UEFA naona zinaungaunga, hazina form nzuri.

My prediction: Bayern München vs Manchester City final
Nakubaliana na wewe kabisa!
 
Ngoja akutane na Barca
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1743493500.jpg
 
Huu uzi una maana kubwa sana,

huyu jamaaa kwenye kutabiri yuko vizuri, ngoja tuendelee kushuhudia mtanage.

Bahati mbaya man city na bayern zinakutana kwenye mtaoano.
 
Hawa miamba wa Ujerumani wako vizuri sana kusema kweli, huenda wakamchukua huyu mwali (UEFA).
 
Back
Top Bottom