Ngoja akutane na BarcaKutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.
Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli nyingi ikiwa Home/away.
Na kama Leroy Sane angetua Bayern nahisi wapinzani wasingeingiza timu uwanjani[emoji23][emoji16], kwangu namuona Coman ni weak link kwa Bayern (attacking wise)
Timu nyingi UEFA naona zinaungaunga, hazina form nzuri.
My prediction: Bayern MΓΌnchen vs Manchester City final
Nakubaliana na wewe kabisa!Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.
Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli nyingi ikiwa Home/away.
Na kama Leroy Sane angetua Bayern nahisi wapinzani wasingeingiza timu uwanjani[emoji23][emoji16], kwangu namuona Coman ni weak link kwa Bayern (attacking wise)
Timu nyingi UEFA naona zinaungaunga, hazina form nzuri.
My prediction: Bayern MΓΌnchen vs Manchester City final
TAYARI mkuu VP haliNgoja akutane na Barca
Wakuu mpoNgoja akutane na Barca
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]Ngoja akutane na Barca
Aisee Barca anajuta uko sasa iviNgoja akutane na Barca
Beyern amemdefile Bercelona Jana.Kipigo kikubwa kwa timu kubwa toka nianze kuufuatilia Mpira ukiondoa .Wakuu mpo
ahahahah ArsenaneBeyern amemdefile Bercelona Jana.Kipigo kikubwa kwa timu kubwa toka nianze kuufuatilia Mpira ukiondoa .
πππππππNgoja akutane na Barca