Bayern Munich Nani Kawaroga?

Japokuwa naipenda R.Madrid kwa Spain ila Shughuli itakuwa ngumu kumtoa Liverpool.

Wasipokuwa makini Kombe laweza kutinga Uingereza.
Liver hana chansi, labda fainali ingekuwa inachezwa Anfield. Mimi nionacho ni kipigo kikubwa anapewa liver kama wataingia gainali.
 
Ndo maana uwa sibet unakuwa mtumwa wa timu isiyo ya kwako hahahaha
 
Niliacha siku nyingi sana kuishabikia Liverpool toka Enzi za Akina Fowler lakini kwa Sasa nashawishika kuishangilia maana sio kwa moto walionao sasa.
 
Real Madrid: Are the Champions League finalists lucky or ruthless?





Bayern Munich had 22 shots compared to Real Madrid's nine throughout the 90 minutes
Lucky or just savvy?

Real Madrid have reached a third consecutive Champions League final - but only just, after they clung on against Bayern Munich.

Zinedine Zidane's side drew 2-2 at the Bernabeu, winning 4-3 on aggregate, but would have gone out on away goals had they conceded one more to the German club.
 
Yah ni kweli nikiangalia timu zote haziko vizuri sana ila najaribu kuona jinsi Liverpool ilivyo kihistoria na jinsi inavyozidi kuimarika kila uchao kupitia kwa washambulizi wake kina mohamed salah
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Liverpool ana historian ya michuano ya UEFA kuliko Hala Madrid...?
 
Yah ni kweli nikiangalia timu zote haziko vizuri sana ila najaribu kuona jinsi Liverpool ilivyo kihistoria na jinsi inavyozidi kuimarika kila uchao kupitia kwa washambulizi wake kina mohamed salah
Unaangaliaje kihistoria hapa?? Real na Liver mwenye kubebwa na historia hapa ni nani?? Liver mna mahaba ya ajabu sana. Liver kabeba ndoo mara 5 ya champions ligi, mara ya mwisho miaka ya 80, real kabeba ndoo mara 12 mara ya mwisho mwaka jana, na ktk miaka 4 toka 2014 kachukua mara 2, toka uefa imeanza real kaingia fainali mara 16, 4 kakosa 12 kachukua. Ni historia gani hapa unaongelea??
 
Lucky haiwezi kukupa vikombe 12 vya champions ligi na 3 ndani ya misimu 4.
Alafu licha ya buyern kuwa na hizo shots, Keylor Navas ni sehemu ya timu ya Real Madrid, zile nafasi za obvious alizocheza jana kama tano au sita hivi alikuwa anatimiza wajibu wake. Hivyo mnaposema buyern walikosa, ni kazi yake Navas kuzuia kama mchezaji mwingine aliyetimiza majukumu uake.
 
Guadiola akishatua kwenye timu yoyote ile na aka impose falsafa yake, ni vigumu sana kuiondoa culture yake kwenye timu hiyo hata baada ya yeye kuondoka.

Bayern Munich ya Juppe Heyncks ile ya 2013/2014 uchezaji wake ni toafuti kabisa na hii ya sasa hivi iliyotolewa na real madrid, ile ya kipindi kile ilikuwa inatengeneza magoli kwa mipira ya cross, counter attacks,corners na kila namna kiufupi ile ilikuwa tishio ndio maana barca alikula 7-0 na ubora wake.

Lakini hii ya sasa hivi ambayo tayari imeshapita mikononi kwa guadiola imekuwa ina kaa na mpira sana alafu magoli hakuna kwa sababu inatengeneza magoli ya aina moja tu kwa penetration passes na ndio maana walikuwa wanafika golini lakini hawafungi sababu ukishawajulia jinsi ya kuwabana kwenye pass zao za mwisho umemaliza mchezo.

Hata man city atakuja kuwa na hili tatizo siku za usoni.
 
Wazeee wengi saana pale bayern
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…