barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Liver hana chansi, labda fainali ingekuwa inachezwa Anfield. Mimi nionacho ni kipigo kikubwa anapewa liver kama wataingia gainali.Japokuwa naipenda R.Madrid kwa Spain ila Shughuli itakuwa ngumu kumtoa Liverpool.
Wasipokuwa makini Kombe laweza kutinga Uingereza.