Dah kwahiyo clear penalty sita duh wapewe kombe tuBahati tu kwanza wameunawa mpira kama x 6 refa anapeta tu
Liver mara ya mwisho 2005Unaangaliaje kihistoria hapa?? Real na Liver mwenye kubebwa na historia hapa ni nani?? Liver mna mahaba ya ajabu sana. Liver kabeba ndoo mara 5 ya champions ligi, mara ya mwisho miaka ya 80, real kabeba ndoo mara 12 mara ya mwisho mwaka jana, na ktk miaka 4 toka 2014 kachukua mara 2, toka uefa imeanza real kaingia fainali mara 16, 4 kakosa 12 kachukua. Ni historia gani hapa unaongelea??
Miaka 13 iliyopita.Liver mara ya mwisho 2005
Hawa jamaa mechi zote mbili wamecheza soka safi pamoja Na kushambulia, mbele wana watu Na chances nyingi za wazi wamepata lakini wameshindwa kufunga magoli ya wazi! mwisho wa Siku wanatolewa Na Madrid ambayo kimtazamo walionekana kuzidiwa ktk game zote.
Nani Kawaroga Bayern?
Ni kweli majogoo wana imarika na wana salah, Lakini pia timu wanayokutana nayo final nzembe kama unavyofikiri. Weka akilini hiyo.Yah ni kweli nikiangalia timu zote haziko vizuri sana ila najaribu kuona jinsi Liverpool ilivyo kihistoria na jinsi inavyozidi kuimarika kila uchao kupitia kwa washambulizi wake kina mohamed salah
Hala Madrid! Hala Madrid Ynada Mas!Guardiola kawaroga bayern si bure..
Halla Madrid.
Wanaombeza Madrid wasubiri muda ufike watajionea utofautiSiyo kirahisi rahisi kumbuka Madrid wameshachukua kombe hili miaka miwili mfululizo na hasa ukitilia maanani kwamba kwenye laliga msimu huu haukuwa mzuri kwao. Itakuwa patashika nguo kuchanika.
Hala Madrid! Hala Madrid Ynadas Mas![HASHTAG]#hallamadridsta[/HASHTAG]
Kirahisi hivyo?Naona kama mtani wangu Mr,Liverpool akinyanyua kombe hivi!
12+ Eufa's Champions, Asante mkuu!Mwenye nyumba hata akijisaidia haja kubwa sebuleni utamfanya nini? Utamfukuza?
REAL MADRID ndiyo Mfalme wa UEFA wa muda wote
Nimeipenda hiyo, Asante mkuu!Hakuna aliyewaroga mkuu,.mtoto yake nepi siku zote...
Asante mkuu!Zidane anaujua UTAMU wa kushinda uefa, tuombe uzima!
Hahahhaah...Nimeipenda hiyo, Asante mkuu!