Hawa jamaa mechi zote mbili wamecheza soka safi pamoja Na kushambulia, mbele wana watu Na chances nyingi za wazi wamepata lakini wameshindwa kufunga magoli ya wazi! mwisho wa Siku wanatolewa Na Madrid ambayo kimtazamo walionekana kuzidiwa ktk game zote.
Nani Kawaroga Bayern?
Nani Kawaroga Bayern?