Bayern Munich Thanks Kenyan Fans on their official Facebook page.

Japo mnashangilia kitu cha kipuuzi, ila nilichojifunza "wakenya mnauzalendo sana na nchi yenu nowdays, yaani popote muonapo jina au bendela ya kenya imeonekana mnapaza sauti, big up sana"
 
Huyu mshamba colloh alikuja kujigamba na google kuwasifia Siku yao ya Uhuru, akatolewa ushamba.
Leo tena ameibuka na Bayern munchen. Mid income washamba kweli.
 
IQ gani si huwa uko na choo katikati ya masikio yako...... Acha kujipatia misifa ya nyani
Nadhani umeelewa nilimaanisha nini nliposema mna IQ ndogo, wewe, Colo na wakenya wengi kwa ujumla.
Asante mkuu big-Diamond.
 
Wanaume wa Kenya wengine hata wakitiwa kidole matakoni na wazungu watafurahia na kujisifia wametiwa kidole matakoni na wazungu.

Hata kama Mombasa si Kenya.

Jisifie timu ya Kenya imeifunga Bayern Munich. Au timu ya Kenya imeingia kombe la dunia.

Unajisifia Mzungu kajua upo duniani?
 
Reactions: Oii
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…