Bayern Munich wamng'oa Lucas Hernandez kwa Euro Milioni 80

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411

Mlinzi huyo wa kushoto raia wa Ufaransa amesaini mkataba wa miaka 5 wa kuitumikia klabu hiyo ya Ujerumani

Hernandez atajiunga rasmi na Bayern Munich mnamo Julai 1 mwaka huu wakati ambao dirisha la usajiri litakuwa limefunguliwa

Anakuwa mlinzi wa pili kujiunga na Bayern Munich baada ya Mfaransa mwenzie Benjamin Pavard kujiunga na na klabu hiyo kwa ada ya Euro milini 35
 
HAhahhaha

Bayern wameona waachane na ubahili

Euro 115 milioni kwa beki wawili inataarifu ni jinsi gani wana usongo sana

Bado hela ya usajili imebaki nyingi tu maana wanakipato kuliko Man City na hawajasajili kwa muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…