nifanye lipi sasaπ’
Duh..Habari wa jf.
Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.
Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa kalenda mfano yaan wiki hii lazima upate hela wiki inaisha kimya halafu ni wakali balaa kama pilipili naomba msaada wa kisheria nianze vp kujinasua na hawa bayport.
ukiona tangazo lina huyu mtu kimbiaHabari wa jf.
Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.
Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa kalenda mfano yaan wiki hii lazima upate hela wiki inaisha kimya halafu ni wakali balaa kama pilipili naomba msaada wa kisheria nianze vp kujinasua na hawa bayport.
Aende huko wanako kata huo mkopo apate maelekezo ili wamjibu kwanini wanakata marejesho ambapo hajapata mkopo na Ndiyo maana hawampi mkopoDuh..
Mbona kama hueleweki?!
Unamaanisha umeomba mkopo na bado hujapewa, ila tayari wameshaanza kukukata marejesho?
Duh..ndio wamekata marejesho na hela hawajatoa.
ππwaandikie email uwakopi BOT ndio kiboko yao wanachofanya ni uhuni tu
Huu ni ushauri wa maana sana!waandikie email uwakopi BOT ndio kiboko yao wanachofanya ni uhuni tu
mmeshaambiwa kopeni kwenye taasisi zinazoeleweka..kwann mkuuπ’