BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Gari ni asset mkuummeshaambiwa kopeni kwenye taasisi zinazoeleweka..
waziri wa fedha kaongea
B.O.T. wameelekeza...
unakopa sehemu kisa shida zako za kijinga unakuja kuumia kwanini msitafute financial knowledge kwanza ndipo mparamie mikopo...
nasikitika sana mtu anachukua mkopo wa gari tena la kutembelea ni ufala kama alivyo fala mleta mada