Bayport ni hawafai

Gari ni asset mkuu
 
Na usipowahi ,watakuwa wanaandaa uwongo wao watakukata milele

Pia ,nilitamani nikutukane shukuru dini yangu inakataza ,unaendaje kukopa Bayport
 
Bado tu mnakopaga bayport? Aisee hamjipendi
 
Duh!.
Wana roho ngumu hakika,wanakata mkopo ambao hela hujalamba🤔.
Ila nchi hii usipokuwa janja janja hutoboi😂😂😂.
Mkopo siku zote ni mzuri ila mbaya japo maisha yetu 100% lazima ukope,na usipo kopa bado utalipa mikopo ya serikali😂😂😂
 
Nenda peleka malalamiko B.O.T chap kwa Fasta linakua solved...

Usilalamikie huku dawa ya mtoto mkorofi msemee kwa mzazi wake
 
Hao washakua watam tafuta mwanasheria mzuri watakulipa mamilioni ya kutosha tu na hautakopa tena ila uwe na evidence zote mpe apitie mkataba ulioingia na hao watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…