BBA 2010: Big Brother Africa All Stars

BBA 2010: Big Brother Africa All Stars

Status
Not open for further replies.
Engagement ilihudhuriwa na baba mdogo wa Meryl akiandamana na mkewe, na kaka yake Mwisho alihudhuria na kupeleka pete ya posa yenye tanzanite!!!!!
 
Engagement ilihudhuriwa na baba mdogo wa Meryl akiandamana na mkewe, na kaka yake Mwisho alihudhuria na kupeleka pete ya posa yenye tanzanite!!!!!

Ukizingatia kuwa BBA ni kwa ajili ya burudan, nadhani wamafanya kitu kizuri na ni ubunifu wa kiaina ingawa wanshikaji kwenye Barn walimind. Nasubiri kuona nini kitaendelea leo baada ya eviction.

Naamini Mwisho bado ataokoka ingawa kuna uwezekano Meryl akatupwa kwenye Barn. Itakuwa vibaya sana kama hawatawaacha pamoja ili tuone nini kitaendelea. Kwani wakimalizana na leo, wana uhakika wa wk 2 zaidi kwani Mwisho ni HoH.
 
Mkuu ebu tupe updates ya kinacho jiri uko sisi wengine tupo gizani
Dah Kweli wamemtenda shemeji yetu Anyways kunahitajika kumrudisha shemeji na shoga yake Sheila ili wakalete burudani zaidi
 
graph_MMKU_Art.jpg

Last week you voted to save Kaone, Meryl, Mwiso or Uti. This graph shows that Meryl had zero popularity votes, while Mwisho had one, Kaone has six and Uti had eight.

Uti was the most popular Housemate with eight countries voting to save him, while Meryl had no countries voting to save her.

Therefore, because she received no country votes, Meryl has been evicted.

Uti

The countries that voted to save Uti were: Angola, Ethiopia, Ghana, Kenya, Mozambique, Nigeria, Uganda and the Rest of Africa.

Kaone

The countries that voted to save Kaone were: Botswana, Malawi, Namibia, South Africa, Zambia and Zimbabwe.

Mwisho
The country that voted to save Mwisho was: Tanzania
 
Dah Kweli wamemtenda shemeji yetu Anyways kunahitajika kumrudisha shemeji na shoga yake Sheila ili wakalete burudani zaidi

Nimesikitika sana. Ila kwa jinsi kura zilivyopigwa, Meryl hana uwezekano wa kurudi tena. Ila Mwisho atapeta kwa sababu ni HoH labda wote wawekwe kikaangoni. Na ikitokea hivyo basi atapigwa chini kwani inaonekana jamaa waliobaki wanamzidi nguvu.

Halafu inadhihirisha kuwa haya mapenzi yao watu hawakuyapenda. Ni ajabu kwani huko nyuma vitu kama hivi ndiyo vilikuwa vinawabeba watu, kama ilivyotokea kwa Richiana!
 
sikutegemea kabisa kuona Mwisho akipata kura 1....naona huju jamaa yupo mguu ndani mguu nje.....
 
Napata wasiwasi wa hawa Alexender Forbes Yaani couple yetu haikubaliki kabisa hata nchini Mwao...Hata kura moja kwa meryl imekosekana!
Kimtazamo yaonekana ushindani upo kwa Munya na Uti....Mtu wetu mwisho mashaka kweli..Na leo hakuna nominations tunaanza kupiga kura kwa ajili ya Kuwarudisha watu wawili kwenye mjengo wenyewe.
 
Hizi kura hizi mhhh hawa Alexander Forbes yaani hadi Merly his country didnt give her support :confused2:
 
Napata wasiwasi wa hawa Alexender Forbes Yaani couple yetu haikubaliki kabisa hata nchini Mwao...Hata kura moja kwa meryl imekosekana!
Kimtazamo yaonekana ushindani upo kwa Munya na Uti....Mtu wetu mwisho mashaka kweli..Na leo hakuna nominations tunaanza kupiga kura kwa ajili ya Kuwarudisha watu wawili kwenye mjengo wenyewe.

Kama hizo kura ni za kweli basi washindi ni kati ya Munya na Uti. Nadhani hawa jamaa wanachezea kura, kwani nina hakika pesa haziwezi kwenda tena Tz au Nigeria.

Kwa hiyo Munya atakuwa kwenye nafasi nzuri.
 
Hii Nomination ya leo inawork kweli
Mwisho...9
Uti....4
K1....4
Munya...3
Kwa Kuwa Mwisho ni HOH basi the rest watakuwa kwenye Kinyanganyiro cha kutolewa.Ila naona jioni watatupa picha kamili kama tunapiga kura za kuwarudisha wa kwenye Barn au inakuwaje?
 
Kama hizo kura ni za kweli basi washindi ni kati ya Munya na Uti. Nadhani hawa jamaa wanachezea kura, kwani nina hakika pesa haziwezi kwenda tena Tz au Nigeria.

Kwa hiyo Munya atakuwa kwenye nafasi nzuri.

Nadhani ndo atakuwa mshindi africa haitakubali mshiriki wa nchi (Naija na TZ) moja kuchukua mara mbili
 
Ila huyu Sheila sijui anamatatizo gani, alikuwa akimpa stori Shemeji jinsi alivyomfanyia tatiana alipokuwa amelewa kwa kumwekea chocolate kwenye xxxxxxx. nilikuwa namuheshimu lakini nimemdelete mkenya huyu!
 
Ila huyu Sheila sijui anamatatizo gani, alikuwa akimpa stori Shemeji jinsi alivyomfanyia tatiana alipokuwa amelewa kwa kumwekea chocolate kwenye xxxxxxx. nilikuwa namuheshimu lakini nimemdelete mkenya huyu!

Wewe ndo unamstukia leo? Mbona tulishamwona siku nyingi kuwa ni kasagaji ka nguvu. Hukusikia tena juzi anasema kuwa ana wake 3, Tatiana, Jen na Lato.

Huyu mtoto ni hatari sana.
 
Hii Nomination ya leo inawork kweli
Mwisho...9
Uti....4
K1....4
Munya...3
Kwa Kuwa Mwisho ni HOH basi the rest watakuwa kwenye Kinyanganyiro cha kutolewa.Ila naona jioni watatupa picha kamili kama tunapiga kura za kuwarudisha wa kwenye Barn au inakuwaje?

Hizo nominations naona zitafanya kazi in favor of Uti, maana kura za SADC zitaganywa kati ya Munya na K1, halafu zile nchi za mbali na EAC zote zitaenda kwa Uti.

Bado sijaelewa, ina maana kwamba barnmates tunawapigia kura wiki hii? Sasa housemate atakayetoka Jumapili ina maana kwamba atakuwa hana haki ya kupigiwa kura? Nilitarajia kwamba wiki hii ingekuwa ya mwisho kwa housemates kupigiwa kura, then wiki ijayo wangepigiwa barnmates ili kuamua nani arudi mjengoni. Halafu wiki ya mwisho tunapiga kuamua nani mshini kati ya washiriki walio mjengoni.
 
Naona hizi nomination zilikuwa ni Academic tu Biggie amewaambia kuwa hakuna mtu ambaye atakuwa evicted ila kinachofanyika sasa ni kuwapigia kura Barnmates wawili watakaorudi mjengoni majina ya hawa Barnmates wawili yatatangazwa Jumapili tarehe 3 October kwahiyo kama utaweza kumpigia kura shemeji yetu na kumrudisha mjengoni itakuwa poa.
 
Ila huyu Sheila sijui anamatatizo gani, alikuwa akimpa stori Shemeji jinsi alivyomfanyia tatiana alipokuwa amelewa kwa kumwekea chocolate kwenye xxxxxxx. nilikuwa namuheshimu lakini nimemdelete mkenya huyu!

Huyu Sheila ana tabia za ajabu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom