BBA 2010: Big Brother Africa All Stars

Status
Not open for further replies.
NI usd 200,000 mkuu.Namuombea mungu huyu kijana ashinde.ameshapigika vya kutosha na sasa ni mtu mzima sidhani kama atarudia uli ujinga wa wakati ule na akina RC.
10% has been deducted!
 
Lerato and Munya are up for Eviction this coming sunday...Hope lerato will go to the barn hse
Afu jana kuna uwezekano Bushman akawa amekula dhabibu za Meryl kutoka katika tunda la mti wa mzeituni...
 
Jana Mwisho alikua akiichana live clouds, aliongelea pia ishu ya antivirus.
 
Wapendwa wa safu hii mbona kimya sana? Au BBA ya mwaka huu haina msisimko? Au game bado halijaanza?

Sijajua Biggie mwaka huu ana plan gani? Maana mpaka sasa naona bado anacheza makida makida. Sammi na Hannington naona wote 2 watarudi Jumbani siku ya Jumapili. Ambacho sijaelewa bado ni kwamba je, eviction ya Jumapili itakuwa ya kikweli au ni ya kiungo uongo?

Mabadiliko? YES
Naona Yacob na Paloma wamejitahidi sana kubadilika. Yacob siyo mzee wa strategy tena this season na Paloma amekuwa mpole utadhani siye yule aliyekuwa akiwakoromea wasichana last season. Sheila amepunguza uvivu kwa kiasi kikubwa. Uti sijaona tena kama bado ana zile hasira zake za season 3. Munya sijui ana over confidence? Maana this time naona ameanza kuchemka mapema sana. Hannington pia naona amebadilika sana, si yule wa season 4. Mwisho na Meryl sijaona kama wamebadilika, japo mahusiano yao yanaweza kumuweka Mwisho mahali pabaya ama pazuri.

Alliances? YES
Naona tayari kuna informal alliance moja ambayo inazidi kuwa wazi kwa kadri siku zinavyozidi kusonga mbele. Meryl, Lerato, Sheila, na Uti; hawa naona wako kambi moja na ninaona Mwisho na Yacob wanaelekea huko maana Yacob naona ana dalili za kumtaka Lerato japo hasemi na Mwisho tayari ni buddy buddy wa Meryl.

Vulnerable persons: Tatiana na Munya naona wameanza na mguu mbaya na wanaweza kuondoka mapema sana. Lerato anahisi Tatiana bado ana mission ya season 2, na Tatiana nae ana hisia hizo hizo, maana walikuwa kwenye kambi 2 tofauti na Lerato na kambi yake walipoteza game baada ya kusalitiana wao kwa wao.

The rest of housemates hata sijui nisemeje, lakini naona K1, Munya, na Yacob wako against Uti and along that line wameungana informally na Paloma kwenye ka-alliance kao.

Jen hajulikani anaelemea wapi.

Hannington na Sammi wakirudi ndani ya Jumba game plan inaweza kubadilika sana.

Generally, season hii kuna badiliko kubwa moja, when it comes to nominations hakuna open discussions kama ilivyokuwa last season. Kilichosababisha nadhani ni kwamba whoever aliyekuwa anaongoza mikakati ya nominations alikuwa anachukiwa na Afrika na siri ikivuja the other group wanam-target.

Sasa sijui alliance za mwaka zita-operate kwa misingi ipi. Ngoja evictions za kikweli zianze may be watu wataanza kucheza game kikweli kweli.

Mwisho: I guess anaweza kufika mbali sana kwa kuwa sioni kama yuko kwenye alliance yeyote na pia haonyeshi anaelemea wapi. Hiyo inaweza kum-save na sidhani kama Meryl na alliance yake wanaweza kum-target Mwisho.
 
ok ngoja nichek pic zao maana cwajui wengi!!
 
Lerato is OUT now...

I am so happy, Nilitaka nione jinsi Sheila atababaika maana ulikuwa mhimili wake. Muone sasa anavyohaha! I hope Mwisho will be carefu not to fall in their stupidity acting! Tatiana ni makini she is playing her game...and enjoy. Haters roho zinawauma na yeye anaendelea! Hii ni game
 
Ila lerato karusha dagger yke kwa kurudisha kisasi kwa tatiana...Game soon itabalance ila naona kesho kutakuwa na nomination za chuki kutoka kwenye barn house
 

Age 24
Hometown Harare
Occupation Film Maker and Actor

Biography "Lets make history" is Munya's favourite quote for good reason. He made an impression during Season 3 and plans to use this Season to reconnect with his fans. He doesn't find lies funny and cowards make him angry, while his ability to read people is a special talent.

Age 29
Hometown Luanda
Occupation TV Presenter, Actress, Model

Biography Everyone remembers Season Two's Tatiana. Well, she's back to play a stronger game and to thank her fans for being there for her. Tatiana loves passion and dislikes jealousy and audiences should keep an eye on her this Season because she is real, fun and original
 
Na hii dagger ya Tatiana aliyopewa na lerato, mmoja wao akitoka jumapili sijui itakuwaje! Na kama tatiana atatoka na kwenda kwenye barn jumapili sijui atakuwa na hali gani akikutana na Hannington na Lerato. Na Sheila itakuwaje kama Munya akibaki.. Very interesting..
 
Tunahesabu masaa machache tu kusubiria kumwona MUNYA akienda kwenye Barn house..naona atashangazwa sana kusikia Sheila amemreplace yeye wakat Munya alikuwa anaomba washabiki wamevote Tati abaki kumbe wapo kwenye kikaango kimoja..Akibaki Tati next week anachomoka mwingine kwenye kundi la kina Meryl
 
Mkuu naona matarajio yako hayajawa, Tatiana ndo anasota barn house
 
Mkuu naona matarajio yako hayajawa, Tatiana ndo anasota barn house

Naona kura za chuki zidi ya Tati ndio zimesababisha safari yake ya kwenda Barnhse..i hope Uganda,Sauzi, Zim, Kenya, Naija na Nam watakuwa wamevote kwa munya to stay!! Naona Bro sammy anafarijika japo kwa wiki hii moja pairing inawezakuimarika ndani ya Barnhse
 
so happy Tati is out lol..analo barnhausi
 
Kumbe Munya alikuwa/bado kipenzi cha wengi duh

Munya

The countries that voted to save Munya were: Botswana, Ethiopia, Kenya,
Malawi, Mozambique, Namibia, Nigeria, South Africa, Zambia, Zimbabwe, Uganda and the Rest of Africa.

Tatiana

The countries that voted to save Tatiana were: Angola, Ghana and Tanzania.
 
Na Sheila itakuwaje kama Munya akibaki.. Very interesting..

Sheila atakuwa anajisikia vibaya sana....it will be interesting kuona watakavyotizamana na Munya for the next 7 days!
 
Leo Jioni naona so far kwenye hizi Nomination zilizofanyika Watakao kuwa nyavuni ni
Code(4) ,K1(6), Munya (7) and Yacob (7) in alphabetical order
Kwa kuwa K1 ni HoH huenda akaacha msimamo uwe hivyo hivyo MUNYA NA YACOB WAWE KWENYE KIKAANGO AMBAPO YACOB KAOMBA KAMA WANANCHI MNAPENDA ACHUKUE USHINDI MPIGIE KURA ABAKI LAA AMECHOKA KUKAA NDANI KWA MIEZI 3 PASIPO KUTOKA NA KITU NI BORA AKATOKA MAPEMA KAMA HATAKUWA MSHINDI...Hajui kama kuna barn hse kweli kilio tu
 
Sheila atakuwa anajisikia vibaya sana....it will be interesting kuona watakavyotizamana na Munya for the next 7 days!
Ila leo katika Nomination hawajafanyiana mtimanyongo
SHEILA amemnominate Code and K1
Na MUNYA kawataja YACOB and UTI
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…