BBA 2010: Big Brother Africa All Stars

BBA 2010: Big Brother Africa All Stars

Status
Not open for further replies.
It is Jen vs Munya

Safari ya Jen kujongea kwenye barn imewadia.
 
It is Jen vs Munya

Safari ya Jen kujongea kwenye barn imewadia.
Kwann tusiungane wa EA kumtoa threat Munya? wao watagawana kura za sadc ila EA3 +NG1+shemeji NAM1+Moz+ Rest of Africa+Ghana=8...pamoja tunaweza kuondoa kisiki hki na game ikawa wazi kwa wawili UTI na Mwisho
 
Watu wengi (nikiwemo mimi) walifikiria kwamba Paloma ni weak mno na hivyo Mwisho angekuwa popular kwa nchi nchingi zaidi ya hii ya 9 VS 6.

Matokeo haya yananionyesha either Paloma hakuwa weak kiasi cha wengi tulivyodhani AU Mwisho is not so popular after all na akikwekwa kati na either Munya au Uti, safari yake kuelekea kule mjengo wa pili itakuwa imewadia

Paloma was weak; hizo nchi zilizompigia ni zile zinazompenda Munya so zinataka anyone who is a threat to Munya atoke. Mtaona hizo hizo ndo zitampigia kura Munya this week against Jen.
 
Sasa hivi website ya BBA haiko hewani. Hata hivyo naamini hiyo clip itakuwepo bado.
http://bigbrotherafrica.dstv.com/

jana niliiona hiyo clip yaani Lerato inaonekana wine ilimchukua na yeye ndo alikuwa chanzo akilazimisha swali lake alilouliza ajibiwe.
then baadae alipokuwa ndani akasikia hann akisema kuwa asitufanye sie watoto hapo ndo majibishano yakakolea na hann kuinuka kujibishana na Lera kilichoendelea hapo balaaa.Leo naona site imepata kwikwi kwi
 
jana niliiona hiyo clip yaani Lerato inaonekana wine ilimchukua na yeye ndo alikuwa chanzo akilazimisha swali lake alilouliza ajibiwe.
then baadae alipokuwa ndani akasikia hann akisema kuwa asitufanye sie watoto hapo ndo majibishano yakakolea na hann kuinuka kujibishana na Lera kilichoendelea hapo balaaa.Leo naona site imepata kwikwi kwi

Sasa wako hewani. Mimi tatizo langu na nimepitia comments za baadhi ya mashabiki, ni kwa nini lawama zote zinaenda kwa Hannington? Ngoja nijaribu tena kuiweka hiyo clip


[video]http://bigbrotherafrica.dstv.com/News/3096/Lerato-Hannington-Fight.html[/video]
 
Hanning asinge inuka pale alipokaa na kwenda kujibizana nae .afu yeye ndo aliaanza kumtia dole mwenzake ndo utamu wa kipele ukapata mkunaji...fu*** k za kutosha tu
 
Hanning asinge inuka pale alipokaa na kwenda kujibizana nae .afu yeye ndo aliaanza kumtia dole mwenzake ndo utamu wa kipele ukapata mkunaji...fu*** k za kutosha tu

Hapo sawa, ila kuna mtazamo kwamba "never hit a woman". Kwa nini hoja inakuwa kupiga mwanamke badala ya kupigana? Naona Wabeijing woote wamemshikia bango.
 
Hapo sawa, ila kuna mtazamo kwamba "never hit a woman". Kwa nini hoja inakuwa kupiga mwanamke badala ya kupigana? Naona Wabeijing woote wamemshikia bango.
Waswahili wanasema mwanamke anapigwa kwa upande wa kanga na sio ngumi.Mwanamke ni sehemu ya ubavu wa mwanaume binafsi tangu kuzaliwa sijawahi kumrushia ngumi mtoto wa kike..they r so soft ..hata kwass bado hannington anajilaumu kwa hilo na anasema hawezi kujisamehe mwenyewe !!
 
Waswahili wanasema mwanamke anapigwa kwa upande wa kanga na sio ngumi.Mwanamke ni sehemu ya ubavu wa mwanaume binafsi tangu kuzaliwa sijawahi kumrushia ngumi mtoto wa kike..they r so soft ..hata kwass bado hannington anajilaumu kwa hilo na anasema hawezi kujisamehe mwenyewe !!

Ni kweli, lakini hizo nyimbo zao umewahi kukabiliana nazo? Binafsi siamini katika adhabu ya kichapo ila kuna wakati naona kama kero inazidi na bora lawama! Mimi nadhani kinachoendelea ni kwamba wakina mama (dada) wamepewa jukwaa na sasa watalitumia vizuri. Ni kweli Hannington alikurupuka lakini hata matusi aliyokuwa anamwaga lerato hayavumiliki. Tatizo simsikii Lerato akijlaumu kwa matusi aliyorusha. Na ki ukweli naona kaguswa tu wala hajapewa kichapo chochote kama wanavyotaka kutulazimisha tuamini. Na ndio maana labda BB hajachukua hatua ya kumtoa nje Hannington.
 
Binafsi naona lawama si kwa Hannington peke yake ila na Lerato pia. Lerato alikuwa hataki kuwapa nafasi wengine kuongea na kujadili. Hannington ambaye alikuwa ndio mwenyekiti akawa mkali Lerato naye akataka kujiadai mbabe, mara akaingia ndani na baadae akatoka akaanza maneno na baadaye akamsukuma Hannington ambaye of course ali-react kutokana na hasira na hakumpiga Lerato ila alimsukuma pia (kwa mimi nilivyoona). Lakini pia Lerato naye angenyamaza na si kuendelea kuongea. Tatizo pia linakuja wanawake waliopo kwenye barn wote ni mavuvuzela na kila mmoja ni m-beijing! Badala ya kunyamaza na ku-focus kwenye mazungumzo mengine, wanajadili yaleyale na kuzidi kumtupia lawama Hanny. Nadhani na idea ya kuleta psychologist ni nzuri.
 
Hanninton Evicted!
Fri, 17 Sep 2010 12:18

Big Brother called the Barnmates to the lounge and announced that Hannington would be evicted for his role in his confrontation with Lerato.

Big Brother mentioned that in the run up to the confrontation, Hannington had many opportunities to walk away but he opted not to. Big Brother called Hannington's actions unacceptable.

For her role in the run up to the confrontation, Lerato will lose her right to nominate. She will also not be allowed any alcohol and will be required to wash dishes for the remainder of her stay in the Barn.

Big Brother mentioned that Lerato acted in a very provoking manner and was verbally abusive towards Hannington.

Hannington was given two hours to pack his bags and leave the Barn. Big Brother offered him therapy to assist with dealing with his anger problem.
 
Naona wamemwondoa baada ya mkwara huu hapa ambapo wamama wamekuja juu. Lakini yule dada naye amechonga sana wacha amuwashe KOFI. Wadada kwa vuvuzela!!!!. Mtu ana nguvu lakini oooh Nipige nipige

BBC News - Big Brother Africa condemned over housemate's punch

Pamoja na lawama zote kwa Hannington, bado mimi naamini Lerato naye angatakiwa kutolewa nje. Alifanya mambo ambayo yalikuwa hawezi kuvumiliwa na mtu yeyote. Naona ni pressure za watetezi wa haki za wanawake ila kama pia hawatakaa wakalaani tabia za akina Lerato itakuwa kazi bure. Naamini hata kama Lerato angekuwa ameolewa na mwanamke mwenzake (lesibo couple) bado wangechapana makonde kwa jinsi alivyokuwa anakera.
 
Hannington's Sad Farewell
17_Sep_Farewell_LG.png

Binafsi naona wangetakiwa kutoka wote ili nyumba itulie..adhabu aliyopewa Lera haitoshi mana yeye ndo chanzo cha tatizo...
 
Je Munya atakwenda kuwa HoH wa kwenye Barn House??J2 sio mbali voters kupitia alexander forbes watafanya maamuzi sahihi...
Tumpe Nafasi huyu mdada mana ni weak link
Jen---Mozambique_pro_lg.jpg
 
Je Munya atakwenda kuwa HoH wa kwenye Barn House??J2 sio mbali voters kupitia alexander forbes watafanya maamuzi sahihi...
Tumpe Nafasi huyu mdada mana ni weak link
Jen---Mozambique_pro_lg.jpg

Mkuu sidhani kama huyu dada atapona. Munya nina hakika hatatoka. Labda kama huku nje watu watakuwa wamepiga kura kwa kuangalia mbele. Nategemea kuwa Munya atabaki angojee kupambana na Uti na Mwisho kwenye finals. Kama huyu chizi wetu hata haribu mambo dakika za mwisho basi anaweza kushinda.


Hivi jamani kwa nini watu wanakuwa wanafiki namna hii. Yaani Sheila na Tatiana ndo watu wangelia eti Hanny katolewe? Wamenikera sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom