Kashakua zilipendwa azae tu!!Kuna watu wanataman kufyatua hata kamoja tu na hawapati. Wacha ajifyatulie faraja yake.
Kwakweli hata anayemuona kachemka atajijua pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alivyokua anajiita mke je?Ahahaaa halafu nashindwa kuelewaga hiyo statement ya kuzaa ndio kuolewa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani utafikiri wewe ndio zari unajua unachowaza kichwani mwako [emoji1][emoji1]
Tena sanaMapenzi mabayaa
Bangi mbaya sanaKwani ni lini Diamond aliwahi kuwa na mahusiano na Zari..?
Zari alikua mali ya Kusaga,Diamond alikua anatumiwa tu...
Watoto wote wale(Nillan na Tiffah) sio wa Diamond ni wa Kusaga..!
Ahahaaaah..!!!
Wabongo hatari sana..!
Hebu iweke hapa tuione[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] ila kama kuna watu walidhani Diamond atamuoa Zarina[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] they need prayers kwa kweli!
Hata ningekua Mimi sithubutu mwanangu aoe mwanamke ambae nude yake ipo mtandaoni!
Ww hujabahatika?Sana...labda ubahatike
Tena wa kijinsia[emoji16][emoji16]Mbona mi nlivyomwacha BBC hawakujaa .... aaah ubaguzi huuu
What’s the respect among them? Wote wanawake tu. Haijalishi kazaliwa Tz au kazaliwa Sudan au Uganda, Diamond ni player anaye act victim most of the time. Hao wanawake pia wapumbavu.Ni watz Hakuna shida
Uko vizuri...
Unaonekana uko deep in love[emoji23] [emoji23]
Kuna watu wanataman kufyatua hata kamoja tu na hawapati. Wacha ajifyatulie faraja yake.
Kwakweli hata anayemuona kachemka atajijua pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Age is just a numberAngejielewa angeenda kuzini na kiben 10 domo na kupachikwa mimba mfululizo?
Sister usiingizwe mkenge na wafanya biashara hawa,subiri kwanza picha lifike walau kati,Diamond hajaongea chochote mpaka sasaVizuri kaongelea kafunga kitabu na tumejua dai ni bomu bomu bomu.. kakimbiwa na fans wemgi wa damu damu.. wamebaki wengi wale ambao hawakumpenda tangu..
Bora hata wewe umesema kweli, Ndomo ni mpenda ngono hatari sana, anawaka tamaa kaliii na wadada wa kibongo wasivyo na akili anawapanda tu kama farasi halafu anaigiza yeye ndio kaumizwa.What’s the respect among them? Wote wanawake tu. Haijalishi kazaliwa Tz au kazaliwa Sudan au Uganda, Diamond ni player anaye act victim most of the time. Hao wanawake pia wapumbavu.
Sister usiingizwe mkenge na wafanya biashara hawa,subiri kwanza picha lifike walau kati,Diamond hajaongea chochote mpaka sasa
Mahojiano yalikua kama hivi
BBC.Toka Diamond aonekane ameshikana na ex wake mlishawasiliana?
Zarina:Hapana tuna zaidi ya wiki tatu hatujawasiliana
BBC:Je Diamond amefanya juhudi zozote za usuluhishi au kutuma watu kwako wamuombee msamaha?
Zarina;No comment,No comment!
Hapo tu utajua kwamba Zarina Hassan Tlale hamanishi anachosema au tayari kuna jitihada za usuluhishi zinaendelea chini kwa chini na litatoka tu Bungalow la pili litakua la Prince Nillan huku tukiachwa midomo wazi.
Hakuna haja ya kuendelea na Uhusiano kwenye matukio kama haya. Zari anajiweza asonge mbele siyo kushare kwa jinsi hii.Kwa hiyo Zari ajishushe na kubomoa brand yake kisa biz ya huyo mikuu mingi.. 😱
Mwanamke yakimfika shingoni umfika haswaaaaa..
Mfano mmoja..