Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1] Acha hizo bana!Nyang'aus rule Africa wapende wasipende na mwenye anasikia ako na shida can ho hug a transformer... oh wait, are there enough transformers in Tz for these Tanzagizans to hug? 1350MW?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anaogopa kuulizwa, na hii Doctorate yako uliipata vipi na huelewi kuzungumza na lugha ya kiingereza ambayo unasema ulifunzwa nayo na kupita mitihani hadi ukamaliza...
Zeinab(bbc hardtalk host): President Dr. John Pombe welcome to Hard Talk.
Dr. Pombe: Zenkyou so much.
Zinab(bbc hardtalk host):You've had your meeting with president trump this is the president who reffers to african countries as s.hole countries, is this really a man you can do business with?
Dr. Pombe: eeeh! Sahamani,.... I mean solly can you lewind your question prease?
Zinab(bbc hardtalk host):You've had your meeting with president trump this is the president who reffers to african countries as s.hole countries, is this really a man you can do business with?
Dr. Pombe: Ze ze ze ze Tlump Plesident is my Fleind and we ale shithole countly si atupatie loan ya Makinikia will pay srowry and we have many tanzanite pare mererani....
Zinab(bbc hardtalk host): I hardly get what you are mumbling Sir, where did you get your Doctorate from or is it a Honorary one since you communication skills are quite poor , Sir?
Dr. Pombe: Hapa kazi tu labda i do you push ups, Zainab to show yuo how I ze ze ze ze Tanzanians, they rove peace.
Lakini Tanzania official language ni kiingereza, maraisi wote walikuwa wanaongea kiingereza kwenye vyombo vya kimataifa kuanzia Nyerere hadi Kikwete, nafikiri watashangaa kuona rais wetu anaomba mkalimani wa kiingereza to kiswahili. Wao anachotegemea labda mkalimani wa kifaransa au ki Portuguese kwa kiingerezasasa nani anazungumzia lugha?? tunazungumzia kunyenyekea kwa rais akubali kuhojiwa....nimeambiwa na mwenzako rais wenu hawezi kuhojiwa kwasababu inamshusha hadhi...ndio nami nikamwambia marais wa dunia wanahojiwa kila uchao na BBC...lugha sio jambo la muhimu sana sababu wanaweza wakafanya translation tu mara moja