BBC: Kanisani laomba msamaha kwa ubaguzi enzi za ukoloni dhidi ya weusi

BBC: Kanisani laomba msamaha kwa ubaguzi enzi za ukoloni dhidi ya weusi

Dramatically.
Mwafrika akimbwa radhi na Mzungu it's a "life time" achievement, kumbe wameona fursa wanataka kupenya upya "Kustaarabu" kufyonza Tena6.
 
Hizo propaganda za wakiristo wa jf watz. Ukiambiwa uwataje 3 walioliwa na wapi utashindwa
Umeuliza swali zuri.Wakati hao waarabu,kwa wazungu,wanahesabika ni blacks,unaowaona waarabu wa sasa ni mchanganyiko wa watumwa wazungu wanawake wa mashariki ya ulaya,kuolewa na waarabu(weusi wa asili).
 
Mahakama ya Ubelgiji imeiamuru serikali ya nchi hiyo kuwalipa fidia wanawake watano waliochukuliwa kwa lazima kutoka katika familia zao katika enzi ya ukoloni wa Ubelgiji nchini DR Congo.

Wanawake hao, ambao sasa wana umri wa miaka 70, walichukuliwa kutoka kwa mama zao walipokuwa watoto wadogo na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima chini ya mpango wa serikali.

Mahakama imesema serikali ilikuwa na "mpango maalumu wa kuwatafuta na kuwateka nyara watoto waliozaliwa na mama mweusi na baba mzungu."

Siku ya Jumatatu majaji walisema, “ulikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu” na utekaji nyara huo ni "kitendo cha kinyama cha mateso."

Serikali ya Ubelgiji mwaka 2019 iliomba radhi rasmi kwa waathiriwa 20,000, waliotenganishwa kwa nguvu na familia zao nchini DR Congo, pamoja na Burundi na Rwanda.

DR Congo ilitawaliwa na Ubelgiji kama koloni kutoka 1908 hadi 1960.

Baba wengi wa kizungu walikataa kuwatambua watoto wao wa rangi mchanganyiko au kukiri kuwa ni watoto wao, na watoto hao pia hawakupokea utaifa wa Ubelgiji moja kwa moja.

Kwa hivyo walichukuliwa kwa nguvu na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima vinavyosimamiwa na Kanisa Katoliki, ambapo mara nyingi walipitia unyanyasaji.

2017, kanisa katoliki liliomba msamaha kwa waathiriwa. Na 2019, serikali ya Ubelgiji iliomba msamaha kwa kuhusika kwake.
Gundu la wakoloni limemganda mwarabu peke yake.Hawa walobaki tunawaona watukufu
 
Inabidi na waarabu waombe msamaha waliua watu wengi sana

Mahakama ya Ubelgiji imeiamuru serikali ya nchi hiyo kuwalipa fidia wanawake watano waliochukuliwa kwa lazima kutoka katika familia zao katika enzi ya ukoloni wa Ubelgiji nchini DR Congo.

Wanawake hao, ambao sasa wana umri wa miaka 70, walichukuliwa kutoka kwa mama zao walipokuwa watoto wadogo na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima chini ya mpango wa serikali.

Mahakama imesema serikali ilikuwa na "mpango maalumu wa kuwatafuta na kuwateka nyara watoto waliozaliwa na mama mweusi na baba mzungu."

Siku ya Jumatatu majaji walisema, “ulikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu” na utekaji nyara huo ni "kitendo cha kinyama cha mateso."

Serikali ya Ubelgiji mwaka 2019 iliomba radhi rasmi kwa waathiriwa 20,000, waliotenganishwa kwa nguvu na familia zao nchini DR Congo, pamoja na Burundi na Rwanda.

DR Congo ilitawaliwa na Ubelgiji kama koloni kutoka 1908 hadi 1960.

Baba wengi wa kizungu walikataa kuwatambua watoto wao wa rangi mchanganyiko au kukiri kuwa ni watoto wao, na watoto hao pia hawakupokea utaifa wa Ubelgiji moja kwa moja.

Kwa hivyo walichukuliwa kwa nguvu na kupelekwa katika vituo vya watoto yatima vinavyosimamiwa na Kanisa Katoliki, ambapo mara nyingi walipitia unyanyasaji.

2017, kanisa katoliki liliomba msamaha kwa waathiriwa. Na 2019, serikali ya Ubelgiji iliomba msamaha kwa kuhusika kwake.
Angalau walitunzwa kwenye vituo vya kulelewa binadamu na wapo mpaka leo. Uarabuni hakuna mabaki ya watumwa yanayoonekana huko japo muarabu ndiye mtesaji no 1 wa watumwa na kuwauza babu/bibi zetu kama ng'ombe mnadani. Waarabu walihahasi wanaume na kuwafanya wanawake watumwa wa ngono na kuuwa watoto waliozaliwa kwa makosa au kuuwa wanawake waliobeba mimba kwa bahati mbaya.
 
Angalau walitunzwa kwenye vituo vya kulelewa binadamu na wapo mpaka leo. Uarabuni hakuna mabaki ya watumwa yanayoonekana huko japo muarabu ndiye mtesaji no 1 wa watumwa na kuwauza babu/bibi zetu kama ng'ombe mnadani. Waarabu walihahasi wanaume na kuwafanya wanawake watumwa wa ngono na kuuwa watoto waliozaliwa kwa makosa au kuuwa wanawake waliobeba mimba kwa bahati mbaya.
Propaganda za kanisani hizi hazina uhalisia. Taja msikiti mmoja tu uliotumika kuwatesa watumwa? Makanisa yapo mengi sana na Vatican hivi sasa inaomba radhi
 
Angalau walitunzwa kwenye vituo vya kulelewa binadamu na wapo mpaka leo. Uarabuni hakuna mabaki ya watumwa yanayoonekana huko japo muarabu ndiye mtesaji no 1 wa watumwa na kuwauza babu/bibi zetu kama ng'ombe mnadani. Waarabu walihahasi wanaume na kuwafanya wanawake watumwa wa ngono na kuuwa watoto waliozaliwa kwa makosa au kuuwa wanawake waliobeba mimba kwa bahati mbaya.
Nakuunga mkono katika hili
 
Back
Top Bottom