MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
😅..Kuna pay zimetajwa mule, huku kwetu ziliitwa vijicent/vya mbogaWametuonea sana haya ndo mambo yetu halafu hatuna hata mmoja au viongozi wametumia ndumba
Sio kila jambo lazima mtu uchangie hata kama hulijui!!mengine unaacha tu yanapita, sasa BBC kwenye huu uchunguzi wa PANDORA PAPER, inahusika vipi?wao wameripoti kama chombo cha habari tu, kuwa na KENYATA, na familia yake wamo humo, kosa lao ni nini?Bbc na mabeberu walishamalizana na JPM,ni zamu ya kenyatta Sasa.
Systems ni ileile tu ya kikoloni DIVIDE AND RULE,
Mnafarakanishwa waafrica Kisha mnatawaliwa.Kila mmoja KWA wakati wake atakula Nyundo ya kichwa.
Wewe mzungu tuache sisi black tuendelee na mambo yetu,wewe ukoloni ulishakutafuna KWA kuwaabudu wazungu vilivyo.Sio kila jambo lazima mtu uchangie hata kama hulijui!!mengine unaacha tu yanapita, sasa BBC kwenye huu uchunguzi wa PANDORA PAPER, inahusika vipi?wao wameripoti kama chombo cha habari tu...
Siwezi kuamini na nitakataa mpaka Pumzi yangu ya mwisho huyu Kiongozi Mr. Smile Mswahili Pwani BBC na PANDORA PAPER yenu hamjamkuta kuwa amejilimbikizia sana Mali na Kuinyonya mno Tanzania...
BBC wameamua kuwa wachezaji wa ziada/hiary wa uchaguzi mchafu wa KenyaKwa nimjuavyo Mr. Smile Mswahili Pwani na alivyokuwa Mjanja Mjanja huku akiwa Kazungukwa na Wapigaji watupu Mightier nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hajaliibia Taifa la Tanzania na hata Kujitajirisha nalo na Kakosekana katika BBC PANDORA PAPER iliyotoka.
Kwanza unaelewa maana ya Pandora papers??Bbc na mabeberu walishamalizana na JPM,ni zamu ya kenyatta Sasa.
Systems ni ileile tu ya kikoloni DIVIDE AND RULE,
Mnafarakanishwa waafrica Kisha mnatawaliwa.Kila mmoja KWA wakati wake atakula Nyundo ya kichwa.
Umasikini wako uko kwenye DNA kabisa, unadhani labda umeibiwa au angesomeka Kikwete kwenye Pandora ungepata nafuu.Siwezi kuamini na nitakataa mpaka Pumzi yangu ya mwisho huyu Kiongozi Mr. Smile Mswahili Pwani BBC na PANDORA PAPER yenu hamjamkuta kuwa amejilimbikizia sana Mali na Kuinyonya mno Tanzania...
Hao wanyonyaji, mbona kila leo wanapisha ikulu yako, na unawalilia shida zako kila siku?!!hahaaa, na wanapokupa pesa unawaita washiriki wa maendeleoWewe mzungu tuache sisi black tuendelee na mambo yetu,wewe ukoloni ulishakutafuna KWA kuwaabudu wazungu vilivyo...
umeshachangiaUlitaka awekwe nani hapa TZ kwa kigezo kipi