BBC na propaganda za kisiasa, kumuongezea maneno Rais Magufuli

Wengi wao ni wakenya! Mkenya akiona mzungu anaweza kukaa chini kwa kumsujudia, ni kama Lisu tu
Ni kweli watangazaji wa Kiswahili wa BBC wengi ni Wakenya na wachache Wanyarwanda kwa sababu wanajua Kingereza na Kiswahili kizuri kwani Kisukuma na Kiswahili cha mitaani (creole) hakitakiwi BBC, Shirika la Serikali ya Uingereza. Wabongo wajuwe hawawezi kufundisha au kutangaza kwa Kiswahili nchi za nje kama hawajui lughà zao, wao wafie TBC na media zingine zinazounga mkono juhudi.
 
Ni kweli wengi wao ni Wakenya kwa sababu wanajua Kingereza na Kiswahili kizuri kwani Kisukuma na Kiswahili cha mitaani hakitakiwi BBC, Shirika la Serikali ya Uingereza. Huwezi kufundisha au kutangaza kwa Kiswahili nchi za nje kama hujui lughà zao!
Ndio maana mnawainamia sana hao wazungu?
 
Ndio maana mnawainamia sana hao wazungu?
Afadhali kuwainamia wazungu wema wanatoa ajira kwa Watanzania wenzetu kuliko kuwainamia mashetani wa Kisukuma wanaotoa ajira kwa Wasukuma wenzao wasio wasomi wakiwaacha wasomi wa makabila mengine wakizunguka na bahasha za khaki wakitafuta kazi bila mafanikio.
 
Katika hili mbona alisema kabisa kuwa wakulima walime chakula cha kutosha kwaajili ya watu watakao kosa chakula kipindi cha Corona...
BBC wameweka lugha rahisi tuu kuwa ametabiri na hilo jambo liko wazi kabisa kuwa lazima kutakuwa na uhaba wa chakula kutokana na Corona....
Nafikiri hakuna propaganda yeyote ile hapo
 
Ina maana ukijifungia ndani hutafanya uzalishaji, na ukitoka unahitaji kula. Waliokuwa nje itabidi watoe chakula kwa waliokuwa ndani. Ni fursa ya kuzalisha kwa wingi ili kuuza kwa wingi.
 
Amesema watu wamejifungia ndani kuongopa corona hawalimi - watanzania limeni hawa wanaweza kuwa na njaa mtawauzia chakula kwa bei nzuri-- Sasa huo si UTABIRI ndugu?
 
Amesema watu wamejifungia ndani kuongopa corona hawalimi - watanzania limeni hawa wanaweza kuwa na njaa mtawauzia chakula kwa bei nzuri-- Sasa huo si UTABIRI ndugu?
Soma vizuri hiyo habari mkuu
 
Usidanganyike ndugu yangu chukua taadhari corona ipo,ulishawahi sikia mtu amekufa kwa ukimwi( yaani Daktari akaandika marehemu amekufa kwa HIV ) ?? nadhani hakuna, basi na corona iko hivyo
 
Hilo swali siwezi kujibu kwani sijabahatika kumsikiliza.

Ila kuhusu uhaba wa chakula nilishawasikia FAO wakilielezea tu mara kadhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…