Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arushe aone, na yeye watampiga na manati piaPutin aliahidi atarusha satan 2 na kulipua nyuklia bomu. Sasa sijui anasubiri nini. Yani watu tuna hamu ya kuvuta iyo mionzi ya nyuklia na kupata ladha yake kabla hatujaonana na Yesu.
Uko zako mkulanga huna unalojua maskini[emoji23]Hapo hakuna hata moj aambalo anashindwa kukabiliana nalo. Halafu putin alishajiandaa kupigana na NATO ndio mana propaganda za waNATO kama hizi hazipungui kwenye vyombo vyao vya habari.
Ni kweli mkuu, unafkiri US alishindwa kumpa silaha za mapambano mazito Ukraine before vita kuanza? Alishindwa kumsaidia Ukraine asichukuliwe hayo majimbo? Nia ilikuwa ni kumuacha Russia aingie, wamchoshe tu mdogo mdogo.wanamchosha tu mdogo mdogo wanajua watamnasia wapi, ogopa sana intelligensia ya watu wa magharibi + US. Hapo Putin ajiandae kisaikologia, vita inakwenda miaka 3 na zaidi huku Ukraine akipata support zote.
Ni kweli mkuu, unafkiri US alishindwa kumpa silaha za mapambano mazito Ukraine before vita kuanza? Alishindwa kumsaidia Ukraine asichukuliwe hayo majimbo? Nia ilikuwa ni kumuacha Russia aingie, wamchoshe tu mdogo mdogo.
Awoo west wanaojifsnya wafata haki na wanaheshimu maoni ya watu mbona walipiga chini vyombo ya Rusia taira kweliSio ujinga, ni uzezeta. Vyombo vya habar vyote huko russia vimepigwa pini, la sivyo tungesikia mengi.
Tofautisha kati ya regime change, na fall of state.Kwa sababu pia Russia [emoji635] hakujua kwamba Ukraine hatapata msaada,sio? Pia Russia [emoji635] hakujua atachoshwa na vikwazo,sio? Hivi unajua ulaya ndio walikuwa vipofu,kwa sababu,hawakujua serikali zao zitaanguka,hawakujua Urusi itashinda vikwazo vyao na kuwarudia wao,marekani hakujua dollar yake inaenda kuanguka. Unajua Urusi inaingiza kiasi gani cha pesa kwa siku kwa kuuza gesi na mafuta? Alafu unasema kwamba itachoka. Myopic rats at its best.[emoji706]
Huwez changia mpaka utoe lugha chafu?Awoo west wanaojifsnya wafata haki na wanaheshimu maoni ya watu mbona walipiga chini vyombo ya Rusia taira kweli