BBC RADIO LONDON:Diamond ashika namba 19 duniani kati ya wasanii wanaosikilizwa BBC RADIO.

Carbondioxide

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
733
Reaction score
195

Diamond Platnumz ni msanii wa 19 Duniani Kati ya wasanii wanaosikilizwa zaidi kwenye kituo cha BBC RADIO LONDON,Uku WizKid toka Nigeria ikishika ya 12.

Uku nafasi ya kwanza ipo na Ed Sheeran na nafasi zingine kama ya tano yupo Justin Bieber,Taarifa zingine zaidi jionee hapo juu kwenye photo.
Ahsante BBC RADIO LONDON kwa taharifa.
 
Mi huwa siaminigi mbona anachoimba sikioni
 
Mimi kila siku nasikiliza taarifa za habari za idhaa ya Kiswahili ya BBC. Mbona sijawahi kumsikia akipigwa?😛
 
labda hio ni london ya kariakoo, huyo diamond mwenyewe hakuna hata watu wanaomfahamu zaidi ya wabongo wa east london.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…