BBC: Rais Magufuli aagiza wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wazembe wapigwe mateke

BBC: Rais Magufuli aagiza wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wazembe wapigwe mateke

Umeombwa pole, na bado 2020 atapita kwa kishindo zaidi ya 2015. Ndio utajua kuwa tunataka hongera, sio pole.
Nilikuwa nawaza kutuma rambi rambi zangu mapema, kwa familia za wazembe watakaopigwa mateke ila umenishawishi mkuu. Hongera zenu au nimekosea Nalendwa?
 
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'.

Magufuli alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa afisa mkuu mpya wa Magereza nchini humo .

Amesema kuwa ilikuwa aibu kwa Tanzania kuendelea kuwaachilia huru wafungwa na kwamba watu hao wanapaswa kulima chakula chao katika shamba.

Anasema kuwa kutofanyishwa kazi kwa wafungwa kumesababisha kuwepo kwa wapenzi wa jinsia moja na matumizi ya mihadarati katika jela.
Ametoa wito wa kusitishwa kwa wanawake au wanaume kutembelea wake zao au waume zao jela.

Makundi ya wanaharakti yamemshutumu kiongozi huyo kwa kushindwa kuwavumilia wapinzani wake wa kisiasa , makundi ya wapenzi wa jinsia moja na makundi mengine.

Magufuli: Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana
Ndio ni sawa kufanya hivyo.
Ili wafungwa waache mihadarati na kusukumana tope.
Ni bora wafanyishwe kaz tu.
Tena ningeshauri mirad mingine km ujenzi uchimbaji mitaro wangefanya wafungwa.
 
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'.

Magufuli alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa afisa mkuu mpya wa Magereza nchini humo .

Amesema kuwa ilikuwa aibu kwa Tanzania kuendelea kuwaachilia huru wafungwa na kwamba watu hao wanapaswa kulima chakula chao katika shamba.

Anasema kuwa kutofanyishwa kazi kwa wafungwa kumesababisha kuwepo kwa wapenzi wa jinsia moja na matumizi ya mihadarati katika jela.
Ametoa wito wa kusitishwa kwa wanawake au wanaume kutembelea wake zao au waume zao jela.

Makundi ya wanaharakti yamemshutumu kiongozi huyo kwa kushindwa kuwavumilia wapinzani wake wa kisiasa , makundi ya wapenzi wa jinsia moja na makundi mengine.

Magufuli: Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana
Tapeli leo kabadilika
 
Mimba za mwendazake ni nyingi. Nyingine hii.

Halafu huyu jamaa haeleweki, yaani mtu ambaye wengi tumemuweka kwenye poup list, yeye ndo anayemfuata fuata
Jinga kabisa, ngoja nalo niliweke kwenye kimba list.
 
Usiyenielewa ni wewe tu na MAZWAZWA wenzio. Mimi ni Mtanzania nina haki ya kukusoa chochote kile ndani ya nchi yangu na wewe ZWAZWA na MAZWAZWA wenzio hamuwezi kufanya lolote lile.
Halafu huyu jamaa haeleweki, yaani mtu ambaye wengi tumemuweka kwenye poup list, yeye ndo anayemfuata fuata

Jinga kabisa, ngoja nalo niliweke kwenye kimba list.
 
Usiyenielewa ni wewe tu na MAZWAZWA wenzio. Mimi ni Mtanzania nina haki ya kukusoa chochote kile ndani ya nchi yangu na wewe ZWAZWA na MAZWAZWA wenzio hamuwezi kufanya lolote lile.

Kwa hiyo ukosoaji wako haukamiliki bila kujipendekeza kwa huyu maimuna MK254. Miaka yole ulikuwa unakosoa tunakuona wa maana, lkn sasa no one is taking you serious. Ndo maana unatag tu hata kenge manyoya. 😁😀
 
Pambana kwa hoja wacha kukimbilia kwangu,.....hehehe!!! Umekamatwa penyewe, lazima utazaa raundi hii.

2833755_FB_IMG_1612420221935.jpg
 
Back
Top Bottom