pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Nilikuwa nawaza kutuma rambi rambi zangu mapema, kwa familia za wazembe watakaopigwa mateke ila umenishawishi mkuu. Hongera zenu au nimekosea Nalendwa?Umeombwa pole, na bado 2020 atapita kwa kishindo zaidi ya 2015. Ndio utajua kuwa tunataka hongera, sio pole.
Ndio ni sawa kufanya hivyo.Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'.
Magufuli alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa afisa mkuu mpya wa Magereza nchini humo .
Amesema kuwa ilikuwa aibu kwa Tanzania kuendelea kuwaachilia huru wafungwa na kwamba watu hao wanapaswa kulima chakula chao katika shamba.
Anasema kuwa kutofanyishwa kazi kwa wafungwa kumesababisha kuwepo kwa wapenzi wa jinsia moja na matumizi ya mihadarati katika jela.
Ametoa wito wa kusitishwa kwa wanawake au wanaume kutembelea wake zao au waume zao jela.
Makundi ya wanaharakti yamemshutumu kiongozi huyo kwa kushindwa kuwavumilia wapinzani wake wa kisiasa , makundi ya wapenzi wa jinsia moja na makundi mengine.
Magufuli: Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana
Tapeli leo kabadilikaRais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'.
Magufuli alikuwa akizungumza katika uzinduzi wa afisa mkuu mpya wa Magereza nchini humo .
Amesema kuwa ilikuwa aibu kwa Tanzania kuendelea kuwaachilia huru wafungwa na kwamba watu hao wanapaswa kulima chakula chao katika shamba.
Anasema kuwa kutofanyishwa kazi kwa wafungwa kumesababisha kuwepo kwa wapenzi wa jinsia moja na matumizi ya mihadarati katika jela.
Ametoa wito wa kusitishwa kwa wanawake au wanaume kutembelea wake zao au waume zao jela.
Makundi ya wanaharakti yamemshutumu kiongozi huyo kwa kushindwa kuwavumilia wapinzani wake wa kisiasa , makundi ya wapenzi wa jinsia moja na makundi mengine.
Magufuli: Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana
Ushuzi mwingine huu, ngoja niutupe kule kwenye ignored list.
Mimba za mwendazake ni nyingi. Nyingine hii.
Endelea kujipendekeza kwa huo MK254
Toa ujinga wako pimbi wewe!!! Tangu lini kuandika ukweli humu imekuwa ni kujipendekeza!? Toa upumbavu wako.
Magufuli: Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wazembe wapigwe mateke - BBC News Swahili
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kuwa wafungwa wanapaswa kufanyishwa kazi usiku na mchana na kwamba wafungwa wazembe wanafaa 'kupigwa mateke'www.bbc.com
Mimba za mwendazake ni nyingi. Nyingine hii.
Halafu huyu jamaa haeleweki, yaani mtu ambaye wengi tumemuweka kwenye poup list, yeye ndo anayemfuata fuata
Jinga kabisa, ngoja nalo niliweke kwenye kimba list.
Usiyenielewa ni wewe tu na MAZWAZWA wenzio. Mimi ni Mtanzania nina haki ya kukusoa chochote kile ndani ya nchi yangu na wewe ZWAZWA na MAZWAZWA wenzio hamuwezi kufanya lolote lile.
Pambana kwa hoja wacha kukimbilia kwangu,.....hehehe!!! Umekamatwa penyewe, lazima utazaa raundi hii.