BBC Swahili chombo cha kueneza propaganda za Kenya

Unajua kenya ni nchi yenye watu masikini sana kuliko hata tanzania . Mimi huwa nashangaa kitu kimoja hapa tanzania asilimia kubwa huwa zinajitoshereza kwa kaya na watu wanaolia na umasikini wote ni wavivu hawataki kufanyakazi. Na kenya huwa wanatumia minya hiyo kutupaka sifa mbaya watanzania kusema ukweli wakenya sio watu wema kwa tanzania
 

hahahaha inabidi nicheke tu, takwimu zipo nyingi zaku bainisha nani maskini kati ya hizo nchi mbili mkuu, tusitoke kwenye mada lakini, kwani hio BBC inamilikiwa na wakenya? BBC wanaajiri watu na merit ama nationality? Kwani BBC haina mfumo wa kubainisha habari taka na habari za kweli? kama mna shida na BBC mnaweza petition na malalamishi yenyu yatashughulikiwa na yakatatuliwa, Kenya tulikuwa na shida hivyo na CNN, tukapiga kelele hadi wakaomba msamaha. Tusipende longo longo kila saa, Kenya kama nchi hatuna shida yoyote na majirani wetu, hapa hakuna any malicious move from the Kenyan gvt or its people, hizi chuki na umbea tuziwache vijiweni, hapa ni JF, home of great thinkers.
 

Hakuna cha ujirani wala nini wankenya wamezuia watanzania kuuza mahindi kenya wakisungizia hayana ubora hapo hapo wao wankuja kuyalangua hapa tanzania na kuyapeleka kuuza kwa bei wanayotaka. Lakini mtanzania akipeleka inabidi aishie namanga ampe mkenya ndio amuuzie mwisho wa siku anashurumiwa. Wapi ujirani hapo. Bidhaa kutoka tanzania haiwezi huzwa kenya watanzania kibao wananyanyaswa huko kenya.
 

it is an established socio-historical and political reality that no country acts in the interest of ANY other. Hapa hatujadili biashara, biashara tuko protective sana, tunajadili mnavyosema foul play kutokana na ''wakenya'' wa BBC, hapo ndipo niliposema, serikali ya Kenya ama raiya wake hawahusiki kwenye foul play yoyte dhidi ya Tanzania kwa kuitumia BBC.

Ni waTanzania wagani wananyanyaswa Kenya? Labda wale omba omba mitaani wakutoka Tanzania, lakini hakuna wabongo wowote wanaosumbuliwa Kenya.

How dumb and paranoid can you actually be to believe that an international media house as big as BBC can be used by Kenya or Kenyans to taint the name and image of a neighboring country? How daft can people really get?
 
How dumb and paranoid can you actually be to believe that an international media house as big as BBC can be used by Kenya or Kenyans to taint the name and image of a neighboring country? How daft can people really get?
The producer and chief editor of the programme Ms 'Mariam Omar' ni mkenya, she is responsible on the broadcast view point. Can you see the relationship why indirectly Kenya is involved in tarnishing the image of our country through this biased woman.
 
Ni wapumbavu tu! Ambao hawaoni ubaguzi wa waziwazi wa bbc. Mm nlitegemea kwamba jambo ambalo liko "hot" kwa sasa hapa Tz ni uchaguzi na wangetuletea habari nyingi sana kuhusu hili,,lakini matokeo yake hakuna kitu!!
 
hapo utapambana na nani sasa? wakenya au BBC?
kwa sababu wengine ni waajiriwa tu. na wengine ni wenye chombo tu.
 
Kiukwel ukiangalia kwa jicho la tatu utaona jinsi habari za Kenya zinavuopewa nafasi ya upendeleo bbc hata ambazo sio news making. Ila kwa suala la uchaguzi wabtz halipewi nafasi ya kutosha. Hata kama mkapa alitukana nayo ni news ambayo ingetudaidia kuutangazia ulimwengu yale ambayo yanaweza kujitokeza kwenye uchaguzi.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa taarifa za habari za BBC. Kinachonishangaza ni kuwa habari zao nyingi ni za Kenya. Hata harakati za uchaguzi Tz hardly zinapewa nafasi ktk taarifa zao.
Hambebeki!!!! BBC imejenga studio za kisasa Dar es salaam lakini hamzitumii, sheria mtandao kandamizi hamtaki kurekebisha, nyie ni kulaumu tu.

Mpewe nini mridhike? unataka waoneshe yanavyotumbuliwa majipu? Uchaguzi gani, unaousemea, ule uchaguzi halali wa marejeo kule Zanzibar
 
Salim kikeke ni mtanzania ( SINGIDA)
Zuhura Yunus mzanzibari UK)
Charles Hilary, Mzanzibari
Keira hayuko tena BBC
Mtizamo wako una kasoro na kasumba
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa taarifa za habari za BBC. Kinachonishangaza ni kuwa habari zao nyingi ni za Kenya. Hata harakati za uchaguzi Tz hardly zinapewa nafasi ktk taarifa zao.
Sasa ni zamu yao. Yenu si mlikuwa mnaweka wajamaa, na watu wenye mirengo ya kufanya kazi za akina ghadafi na wapalestina, na watetezi wa magaidi ili kudanganya wa mzungumzaji wa kiswahili. Mkiwaita wachambuzi wa masuala..sijui gani na gani. Shivji, haribu Othman, bashiru, etc..waliojificha ktk ujamaa kufanya kazi za waasia.
 
Hawa mawatawala ya kwetu yakipata nafasi ya kukutana na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vikubwa kama hivi kazi yao nikuomba watafutiwe mademu huko ughaibuni ndio maana hawa waandishi wanawakwepa!
Naogopa kupigwa ban,vinginevyo watu kama nyie mnatakiwa kutupwa kwenye mito yenye mamba wenye njaa
 
Salim kikeke ni mtanzania ( SINGIDA)
Zuhura Yunus mzanzibari UK)
Charles Hilary, Mzanzibari
Keira hayuko tena BBC
Mtizamo wako una kasoro na kasumba
At least kwa kutojua ndio kapata ujasiri wa kusema uozo wa watz wakipata nafasi haramu wanafanya nini?

Huwa humu ndani ni kisema upuuzi wa fikra za Udsm natukanwa. Ila Mkapa alisema kwa shivji, huyu nae kasema bungeni tunatoka, ktk siasa tunaona. Ila ktk unafiki tunakwepa.
 
Rais wa Kenya anajitambua

Siyo kwamba anajitambua ila Kenya kuna matukio mengi ya kuuza habari. Alshaabab, harakati za vyama vya siasa kama maandamano ya kupinga tume ya uchaguzi,ufisadi wa kutisha wa viongozi nk. Kumbuka vyombo vya habari vinataka habari moto moto na zinazovutia hisia za watu. Mambo ya maendeleo na siasa za bla bla hazina tija kwao. Mbona wanatangaza hata za kwetu viongozi wa upinzani wakikamatwa na Polisi, wabunge wa upinzani wakisusia bunge, Rais akitumbua majipu, matatizo ya uchaguzi Zanzibar nk.
 
Pumba tupu, ndio maana TBC bunge live ilizimwa maana kazi yenu kulalamika.
Eti Salim Kikeke Mkenya, nyie watu majanga. Mambo ya kimataifa mpo zero kabisa na kwa jinsi huwa mnatia aibu bora muishie bila kutangazwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…