Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Uchaguzi 2020 BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa

Hacha janja janja yenu, tumepigwa tayari
Nilisikiliza taarifa yote ya habari...na mchambuzi huyu wa Chadema...very stupid indeed...BBC wamefanya hivyo makusudi kwa kumleta anayejiita mchambuzi kutoka Chadema..ni mkakati wa kampeni za Chadema
 
Lia na Lissu apate urais japo haiwezikanii... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...

Mungu ametubariki kwa kutupa Magu

Viva Magu 2020 to 2030
Kuna watu mnahoji mambo ya kijinga kabisa km sio watz. What happened to escrow? Meremeta? Rada? Uuzaji wa nyumba za serikali? Where is 1.5trn? Why chato international airport? Why mayanga why dotto james?

Watapeli sio Barrick ni magufuli na CCM.

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune.

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili. Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe. Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi.

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na CCM.
Click to expand...
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?


Sio KAMA tumepigwa, wallah tumepigwa KWELI ndugu yangu. Tundu Lissu ndiye mkombozi halisi wa rasilimali za Taifa la Tanzania. Kura zote kwa Hon His Excellency President Tundu Antipas Mugway Lissu ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️ ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
 
Yes ni mazuri, tulikuwa tunamiliki nothing, sasa tunamiliki 16% stake!.
Tutagawana manufaa ya Kiuchumi 50/50.
That is good !.
P
Samahani kiongozi..hivi hao kina Zuhura na mchambuzi wake wameongelea suala la sheria ya madini iliyotungwa, kupitishwa na kusainiwa ya mwaka 2017 (sijaisoma samahani) kwamba haijafuatwa hasa vipengele vya makanikia usafirishaji wake n.k..labda pana option hiyo Barick kusafirisha contrary to the act?

Pia nisaidie kuhusu mikataba ya madini kufikishwa ama kupitishwa bungeni na kujadiliwa kabla ya kuidhinishwa..lilifanyika kwa huu wa Barick kama wanavyosema bwana Thabt Jacob? Ni hayo kwa sasa Mzalendo wenyewe P..🙂
 
Hata mimi mkuu nimeshangaa siku zote BBC walikuwa wapi?wanavizia kampeni ndio wanaanza kuhoji,Ila pia mimi kama mwananchi wa kawaida naishauri Serikali yangu mikataba kama hii iwe inajadiliwa bungeni na kuwekwa wazi,ili sisi wakaazi wa huku Busonzo tusisubiri mpaka BBC watuambie,
Kaka kama unafuatilia mambo yanayoendelea hap nchini..juzi juzi Mh. alipokea tena USD 100 milioni kama gawiwo la kishika uchumba ndio sasa yakaibuka haya ya mahojiano. Mchambuzi kajikita kwenye tafiti zaidi natamani tumkosoe kwa tafiti vile vilee.
 
Kila goti litapigwa kwa mabeberu, Hata Morales wa Bolivia alijitahidi kusimama dhidi ya hawa mwishowe alishindwa na kufurushwa.

Mikataba ya kimataifa ni migumu na inabidi kuheshimiwa na ni suala mtambuka hasa kutokana na ukosefu katika ujuzi wa kufanya kazi na uhaba wa teknolojia , bila kusahau mabenki ya Tanzania kuwa na mitaji pungufu kuweza kuhimili miamala mikubwa ktk fedha za kigeni.

Miamala mikubwa wa fedha za kigeni inaweza kuyumbisha mabenki hivyo ni moto usioweza kuhimiliwa na mabenki ya Tanzania na kuchelewesha shughuli hizi za chapchap za minada ya madini na ununuzi au ukodishaji wa zana nzito za vifaa vizito vinavyotumika ktk uchimbaji na utafutaji.
BBC ni mama zako?
 
Nikiweka hapa itakuwa issue kubwa mno...binafsi nimeiangalia ile video nikashangaa na kuogopa namna wazungu wale walivyoandaa mipango...yaani bila hata aibu wanataka watu wafe Tanzania ili iwe vurugu kubwa ...
Kaka acha porojo hebu weka basi watu wawanange CDM na Babeberu sijui Beruberu wao..unakuwa kama unaomba kura bhana.. 😀 😀 weka tuone nasi tuamini ama tusiamini kama ilivyokuwa wewe..here is were we dare to talk truth...no fear..
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?

Sijapoteza muda kuangalia huo utopolo.

Kelele za uongo ni nyingi sana
 
Shida kasema uongo mkataba uliosainiwa ninmmoja tu(ulisainiwa 2019), alafu nilipoona kule twitter kaweka post ya kukejeli nikajua tu hakuna tena utafiti hapo
Kaka kama unafuatilia mambo yanayoendelea hap nchini..juzi juzi Mh. alipokea tena USD 100 milioni kama gawiwo la kishika uchumba ndio sasa yakaibuka haya ya mahojiano. Mchambuzi kajikita kwenye tafiti zaidi natamani tumkosoe kwa tafiti vile vilee.
 
BBC ni mama zako?
Rudia kusoma utaelewa kuwa mabenki yetu Tanzania yana mtaji mdogo hivyo dili kama hizi inabidi zipite ktk mabenki makubwa ya nje zenye mitaji ya kuhimili mitaji ya dizaini hii na hivyo kufaidi riba, transfer fees n.k :

Kila goti litapigwa kwa mabeberu, Hata Morales wa Bolivia alijitahidi kusimama dhidi ya hawa mwishowe alishindwa na kufurushwa.

Mikataba ya kimataifa ni migumu na inabidi kuheshimiwa na ni suala mtambuka hasa kutokana na ukosefu katika ujuzi wa kufanya kazi na uhaba wa teknolojia , bila kusahau mabenki ya Tanzania kuwa na mitaji pungufu kuweza kuhimili miamala mikubwa ktk fedha za kigeni.

Miamala mikubwa wa fedha za kigeni inaweza kuyumbisha mabenki hivyo ni moto usioweza kuhimiliwa na mabenki ya Tanzania na kuchelewesha shughuli hizi za chapchap za minada ya madini na ununuzi au ukodishaji wa zana nzito za vifaa vizito vinavyotumika ktk uchimbaji na utafutaji.
 
Endelea kupopoyoka...

Viva Magu 2020 to 2030
Kuna watu mnahoji mambo ya kijinga kabisa km sio watz. What happened to escrow? Meremeta? Rada? Uuzaji wa nyumba za serikali? Where is 1.5trn? Why chato international airport? Why mayanga why dotto james?

Watapeli sio Barrick ni magufuli na CCM.

Ndio wanaohadaa watz kwa kuomgo wao huku wakiwaita barrick wanaune.

Viongozi wa ccm wanamakubaliano binafsi na barrick sio kwa manufaa ya nchi bali ya viongozi hao wakuu kabisa wa mihimili. Ndio maana wamekazana kutunga sheria ili waruhusiwe kuvunja katiba ya nchi na wasishitakiwe. Mnadhani hii inamaanisha nn? Hii ndio maana yake halisi.

Tumsaidie Tundu Lissu tuikomboe nchi hii inayoendeshwa kihuni na kilaghai na magufuli na CCM.
Click to expand...
 
Rudia kusoma utaelewa kuwa mabenki yetu Tanzania yana mtaji mdogo hivyo dili kama hizi inabidi zipite ktk mabenki makubwa ya nje zenye mitaji ya kuhimili mitaji ya dizaini hii na hivyo kufaidi riba, transfer fees n.k :
Naona ndo bado upo chuo unakariri ukjibu mitihani Nyambafu..
 
hako kadada kanatangaza huku kana EMOTION hana uelewa wowote
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni upi? Mbona mnataka kuwafanya watu Kama watoto wadogo?! Unadhani watu hawafahamu kwanini mahojiano hayo yamefanyika wakati huu wa uchaguzi ?!Na kwanini huyo Zuhura Yunus asiweze kubalance stori kwa kumleta mtu wa madini kutoka serikalini? Unadhani watu hawajui lengo la mabeberu kwa kutumia media BBC Swahili kipindi hiki? Huyo Zuhura hamnazo Kama ilivyo kwa kijana yule aliyekuwa akihojiwa na aliyejiita mchambuzi...hiyo BBC Swahili ilileta hoja hiyo ya madini kipindi hiki Cha uchaguzi makusudi..stupid BBC...That is not professionalism...
Sasa boss ulitaka walete kipindiki kipi? Sisi ni watanzania tukidanganywa wote tunadanganywa. Sasa wewe hauon BBC wanatuonesha ukweli ilitujue mbivu na mbichi

AKILI ZILIZOSHWA KUDANYWA BWANA# KAZI KWELI KWELI
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?


Walicho eleza ni kwamba kampuni ya Barrick na Serikali ya Tanzania wana gawana faida 50% kwa 50% ila umiliki wa kampuni ya Barrick ni 84%- Barrick, 16% Serikali. Unaweza kufikiri kwamba Barrick wame tudhulumu kwa umiliki wao wa asilimia 84 lakini umiliki wa kampuni una maanisha mambo mengi. Kwanza kabisa sisi kama Tanzania hatu miliki vifaa na teknolojia zinazo hitajika kwenye uchimbaji wa madini. Hii inaweza ikawa sababu moja ya sisi kutokuwa na asilimia kubwa kwenye umiliki. Lazima tukubali kwamba kampuni ni yao, wao wanakuja na teknolojia ambayo sisi hatuna na ambayo hawawezi kutu fundisha kwasababu hiyo ndiyo biashara yao. Kingine kikubwa kinacho husiana na umiliki ni uendeshaji wa kampuni. Lazima kwa njia moja au nyingine, waajiriwa wengi wa kampuni hiyo, wana lipwa na Barrick wenyewe. Kwangu mimi naona ni wazo zuri kwa sisi kuwa na watu wachache kuangalia uendeshaji wa Kampuni bila kubeba mzigo wa kusimamia kila kitu. Mwisho wa siku faida tuna gawana sawa. Mfano ni kumruhusu mtu aendeshe biashara yako bila wewe kuhusika kwa kiasi kikubwa na baadaye kugawana mapato.
 
Walicho eleza ni kwamba kampuni ya Barrick na Serikali ya Tanzania wana gawana faida 50% kwa 50% ila umiliki wa kampuni ya Barrick ni 84%- Barrick, 16% Serikali. Unaweza kufikiri kwamba Barrick wame tudhulumu kwa umiliki wao wa asilimia 84 lakini umiliki wa kampuni una maanisha mambo mengi. Kwanza kabisa sisi kama Tanzania hatu miliki vifaa na teknolojia zinazo hitajika kwenye uchimbaji wa madini. Hii inaweza ikawa sababu moja ya sisi kutokuwa na asilimia kubwa kwenye umiliki. Lazima tukubali kwamba kampuni ni yao, wao wanakuja na teknolojia ambayo sisi hatuna na ambayo hawawezi kutu fundisha kwasababu hiyo ndiyo biashara yao. Kingine kikubwa kinacho husiana na umiliki ni uendeshaji wa kampuni. Lazima kwa njia moja au nyingine, waajiriwa wengi wa kampuni hiyo, wana lipwa na Barrick wenyewe. Kwangu mimi naona ni wazo zuri kwa sisi kuwa na watu wachache kuangalia uendeshaji wa Kampuni bila kubeba mzigo wa kusimamia kila kitu. Mwisho wa siku faida tuna gawana sawa. Mfano ni kumruhusu mtu aendeshe biashara yako bila wewe kuhusika kwa kiasi kikubwa na baadaye kugawana mapato.
😳😳😳😳 seriously Daudis!!!! Kweli kabisaa unamaanisha 50%/50% faida inagawanywa katika hisa 84% kwa 16%??? Hebu mgeukie jirani yako mwambie akueleweshe tofauti ya manufaa ya kiuchumi na faida zitokanazo na hisa!! Geuka tu daidis mweleze basi..😀😀
 
Sasa je mikataba inatakiwa ifanyike ikulu chini ya blanket au bungeni hadharani?
Inatakiwa tuwe wazalendo hizi ni raslimali zetu kwa ajili ya vizazi vyetu
 
Wakuu Jana niliangalia BBC Swahili, wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa, hivi hiki chombo cha habari cha mabeberu kinatutafutia nini?

Hii habar niliisikiliza vizur acha kupotosha wameongelea umiliki na faida Apo ndo ww umejichanganya
 
Back
Top Bottom