BBC Swahili yafungua ofisi za kisasa nchini

Joined
Jun 26, 2014
Posts
48
Reaction score
15
Kwa mara ya kwanza kituo cha BBC ambacho kinarusha vipindi vyake moja kwa moja London toka mwaka 1957 hadi sasa hivi wakati naandika uzi, kwa sasa matangazo yatakuwa yanarushwa dsm Tnzania kwa mara ya kwanza, wandugu mnaonaje,je kiswahili kinakuwa au kinatupwa


CHANZO:
Mwananchi
 
nashukuru kama yatarushiwa tanzania,nilidhani wangeendelea kuisujudia "Nairobi"
 
Mkuu,studio iliyojengwa KIbaha, mkoani Pwani, ni moja ya studio za BBC, kama ile iliyoko Nairobi, lakini studio kuu ya kurushia matangazo itabakia kuwa London. Upo?


CHANZO: BBC
 

Imekaa vizuri lakini si walishaanza kenya siku nyingi au!
Kwa Tanzania imechelewa sana, kwani ndiyo chimbuko la kiswahili. Lakini walipapuuza wakaenda Kenya ambako siyo chimbuko la Kiswahili. Hata hivyo tunashukuru
 
Ni kwamba wamegawa.
Dira ya Dunia; yaani matangazo ya Jioni, yatarushwa kutokea Nairobi.
Amka na BBC; yaani matangazo ya asubuhi, yatarushwa kutokea Studio za Dsm.
Dira ya Dunia Tv imebaki London
 
nashukuru kama yatarushiwa tanzania,nilidhani wangeendelea kuisujudia "Nairobi"

NAIROBI YATARUSHIWA HUKO HUKO TU.POLE!!!!!!!!!!!!!!!
MUGERA: BBC Swahili’s East Africa homecoming

Posted Monday, August 11 2014 at 11:21
In Summary

  • BBC Swahili’s $1m state-of-the-art broadcasting facilities will be officially inaugurated in Dar es Salaam today
It is now official. The entire BBC Swahili service radio programming and production team will be based in East Africa.

This is truly a homecoming for one of the BBC’s most loved and successful language broadcasting services.

BBC Swahili’s $1m state-of-the-art broadcasting facilities will be officially inaugurated in the Tanzania’s commercial capital, Dar es Salaam, today.


It is from here that the flagship breakfast show, Amka na BBC, will be produced. The afternoon show ‘Dira ya Dunia’ and the late evening ‘Leo Afrika’ move from London to Nairobi.
 
Imekaa vizuri lakini si walishaanza kenya siku nyingi au!
Kwa Tanzania imechelewa sana, kwani ndiyo chimbuko la kiswahili. Lakini walipapuuza wakaenda Kenya ambako siyo chimbuko la Kiswahili. Hata hivyo tunashukuru

Lakini ndugu kuna msemo kuwa 'mwenye afya hamuhitaji daktari' unaufahamu?
 
Wakaribie ila wajipambanue na redio za kibongo ambazo zimekaa kiitikadi, kiimani na kimtazamo. Na ningewashauri wasijaze watangazaji wengi wa kibongo watawaharibia kazi maana akili zao ziko kinazi sana.
 
Ni kwamba wamegawa.
Dira ya Dunia; yaani matangazo ya Jioni, yatarushwa kutokea Nairobi.
Amka na BBC; yaani matangazo ya asubuhi, yatarushwa kutokea Studio za Dsm.
Dira ya Dunia Tv imebaki London

online service, dira ya dunia na leo afrika sio london ni nairobi!!!!!!!

It is from here that the flagship breakfast show, Amka na BBC, will be produced. The afternoon show 'Dira ya Dunia' and the late evening ‘Leo Afrika' move from London to Nairobi.
 
wasije wakatumika tuu ,maana radio za hapa tz nying zina unazi,bora wangebak nairob
 
Kwahiyo Mwalekwa na kayanda watarudi tz? Wamekaa londoni kwa mda mchache sana!
 
Kwahiyo Mwalekwa na kayanda watarudi tz? Wamekaa londoni kwa mda mchache sana!

Nina wasiwasi BBC wasipokuwa makini itageuka kuwa clouds2 maana naona hizi ni products za pale!! full unazi wa chama chetu!
 
Mkuu,studio iliyojengwa KIbaha, mkoani Pwani, ni moja ya studio za BBC, kama ile iliyoko Nairobi, lakini studio kuu ya kurushia matangazo itabakia kuwa London. Upo?
wamejenga studio kibaha maeneo gani? maana tulishazoea studio kuwa dsm, basi watakuwa watofauti aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…