BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa Kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila.

Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouawa na M23 ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.

Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu, mme, mke na marafiki huko Congo, msifanye siri tafadhali

USSR
Screenshot_20250201-112925.jpg
a
 
Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila .

Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouwawa na M23 ni kutoka Afrika kusini Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.

Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu,mme,mke na marafiki huko Congo, msifanye siri pls

USSR
View attachment 3221522a
Tunamuogopa Kagame.
 
Ukienda SADC Wewe ni askari wa Shirikisho
Kwanini sisi Tanzania hatuambiwi Afrika Kusini wamesema 13, Tanzania hatusemi ingawa wapo waliouwawa. BBC imesema jumla ni 16 waliouwawa.

Umoja wa Mataifa walikadiria mwaka jana kuwa Rwanda ilikuwa na wanajeshi kati ya 3,000 na 4,000 wanaofanya kazi pamoja na M23 mashariki mwa DR Congo. Wanajeshi 16 kutoka nchi za kusini mwa Afrika wameuawa katika mapigano na M23 karibu na Goma katika wiki iliyopita.

SADC, umoja wenye wanachama 16 "lilithibitisha tena mshikamano wake na kujitolea kwake kuendelea kuunga mkono DRC katika harakati zake za kulinda uhuru wake, mamlaka yake na mipaka wa eneo la DRC".
 
Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila .

Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouwawa na M23 ni kutoka Afrika kusini Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.

Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu,mme,mke na marafiki huko Congo, msifanye siri pls

USSR
View attachment 3221522a
Hao viongozi wanaopeka wajeda wetu kuwapigania wacheza sebene wapeleke na watoto wao huko kwenye kitimtim wakaonje joto ya jiwe, tukichokozwa that's a different story siyo kuwapigania watu ambao hawana nia ya dhati kujipigania wenyewe kwanza.
 
Kwanini sisi Tanzania hatuambiwi Afika Kusini wamesema 13, Tanzania hatusemi ingawa wapo waliouwawa. BBC imesema jumla ni 16 waliouwawa.

UN experts estimated last year that Rwanda had between 3,000 and 4,000 troops operating alongside the M23 in eastern DR Congo. Sixteen soldiers from southern African countries have been killed in clashes with the M23 around Goma in the past week.
Wawili au Mmoja

Mbona ni Hesabu Nyepesi tu
 
Back
Top Bottom