BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

Hao viongozi wanaopeka wajeda wetu kuwapigania wacheza sebene wapeleke na watoto wao huko kwenye kitimtim wakaonje joto ya jiwe, tukichokozwa that's a different story siyo kuwapigania watu ambao hawana nia ya dhati kujipigania wenyewe kwanza.

Mikataba ya ushirikiano wa kikanda huwa inahitajika kuchangia wanajeshi kwenye mizozo inayohitaji kulinda amani...

Tanzania imekuwa ikishiriki operesheni nyingi tu za ulinzi wa amani, na wanajeshi wake mara kadhaa wamepoteza maisha...
 
imhotep inatakiwa Kagame apigwe kwa nguvu kubwa, nauunga mkono hoja.
Mimi siungi mkono hoja ninataka mgogoro umalizwe kwa mazungumzo,kwasababu ukichaa ni kurudiarudia jambo lilelie na kutegemea matokeo tofauti.

Mitutu imeshindwa Dialogue ndio sasa inatakiwa.

Vita ni pesa vita inakula uchumi, hizi fedha za TRA na madeni tunayolipa na Trump kakata misaada tukijiingiza kwenye Vita ya muda mrefu tutakula nyasi.

Kumbuka Vita vya Kagera.

Nataka sana kusikiliza msimamo wa chama changu CHADEMA kuhusu mgogoro wa mashariki ya Kongo jana nilimsikiliza Julius Malema wa EFF anayesema Afrika inahitaji Dialogue.
 
Waziri wa ulinzi ila hajui kutumia darubini ya kuwaona maadui kwa mbali. Unategemea tukapigane na akili kubwa kagame tushinde
Labda tupigane na ACT na CUF tunaowamudu
Ila nyie nyumbu sometimes mnakuwa na mambo ya kingese sana
 
Mimi siungi mkono hoja ninataka mgogoro umalizwe kwa mazungumzo,kwasababu ukichaa ni kurudiarudia jambo lilelie na kutegemea matokeo tofauti.

Mitutu imeshindwa Dialogue ndio sasa inatakiwa.

Vita ni pesa vita inakula uchumi, hizi fedha za TRA na madeni tunayolipa na Trump kakata misaada tukijiingiza kwenye Vita ya muda mrefu tutakula nyasi.

Kumbuka Vita vya Kagera.

Nataka sana kusikiliza msimamo wa chama changu CHADEMA kuhusu mgogoro wa mashariki ya Kongo jana nilimsikiliza Julius Malema wa EFF anayesema Afrika inahitaji Dialogue.
Tatizo wewe una ndimi mbili, wakati huohuo hutaki Kagame auongee na wahutu Warundi Rwanda na kuingizwa Jeshini. Lakini unataka hayo kwa Tshesekedi. Yaani wewe na Kagame hamtaki muongee na hayo makundi yenu yaliyo Congo, lakini mnataka Congo waongee na M23.
 
Tatizo wewe una ndimi mbili, wakati huohuo hutaki Kagame auongee na wahutu Warundi Rwanda na kuingizwa Jeshini. Lakini unataka hayo kwa Tshesekedi. Yaani wewe na Kagame hamtaki muongee na hayo makundi yenu yaliyo Congo, lakini mnataka Congo waongee na M23.
Hawa Congolese Tutsis wako kwenye ardhi ya Mababu zao ndio maana nasema Tshisekedi aongee nao

Hao FLDR wako Kongo baada kufanya mauaji ya Kimbari na kukimbilia Kongo sasa umeona tofauti hapo?!

FLDR ni Wanyarwanda waweke silaha chini warejeshwe Rwanda.
 
Hawa Congolese Tutsis wako kwenye ardhi ya Mababu zao ndio maana nasema Tshisekedi aongee nao

Hao FLDR wako Kongo baada kufanya mauaji ya Kimbari na kukimbilia Kongo sasa umeona tofauti hapo?!

FLDR ni Wanyarwanda waweke silaha chini warejeshwe Rwanda.
Hao hawapo aridhi ya CONGO Bali wametoka Rwanda kuivamia Congo kupitia makundi mbali mbali. Hata Kagame mwenyewe anakili wengi wao wametokea uganda na wachache Rwanda(ingawa ni uongo ) wengi ni wanyarwanda waliorubuni Wacongo wachache kwa maslahi binafsi.
 
Kagame mwenyewe anakili wapiganaji wengi wa M23 wametokea Uganda, yeye kwake alikua na wakimbizi 500/600 kitu ambacho ni uongo. Ingawa Uganda nayo inahusika, Haina haja ya mm kusikiliza video haliyakua naelewe Kila kitu.
Watusi wa Kongo wengi walikuwa Wakimbizi Uganda.
 
Jana nilimuona kwenye habari Waziri wa ulinzi kwenye kampeni za upandaji miti Dodoma nikawaza kuna nini huyu Bibi system inamuibua kupitia media tuone kuwa yupo ofisini/kazini?
Vp bongo movie waimba singeli walikuwepo

Ova
 

Hawa wote ni waongo sio.
Ufaransa na UN huwa sio wa kuwaamini sana na huwa wanachukua sides kwa mfano Ufaransa ilituma maelfu ya majeshi ili kwenda kuzuia RPF advance huko Gitarama.

UN hali kadhalika ilikuwa ni watazamaji kwenye Genocide ya Rwanda na sote tunajua General Romeo Dallaire alikiri na unaweza kumsoma google to UNAMIR failure in Stopping Rwanda Genocide.

Kwahiyo hao sio wa kuamini.
 
Jana nilimuona kwenye habari Waziri wa ulinzi kwenye kampeni za upandaji miti Dodoma nikawaza kuna nini huyu Bibi system inamuibua kupitia media tuone kuwa yupo ofisini/kazini?
Mbona hiyo "system" mnai overrate sana nyie majamaa nyie?? Hao ni watu tu kama mimi na wewe na hawana maajabu yoyote yale..
 
Back
Top Bottom