Haiwahusu! ? Wakimaliza Magharibi watageuka Mashariki....Karagwe!Bring back our solders ..hiyo vita haituhusu sisi
Siri imevuja sasa, wao walificha lakini salam ya pole imewaumbua na chadema watapita na hiyo pole kubaini ukweli halisia..SADC wametoa pole kwa South Africa, Malawi, na Tanzania, kwa kupoteza askari.
..Taarifa Rasmi ya kikao cha Maraisi wa SADC ndio imetoa rambirambi hizo.
..Je, SADC nao wamekosea?
Tena asambaratishweHalafu kuna kichaa mmoja anakuja JF anasema Tanzania wakati huu vita ikishika kasi tukae kimya, tusiwe na upande. Mpuuzi kabisa.
Kagame apigwe mara moja.
Protocol hairuhusu.Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa Kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila.
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouawa na M23 ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu, mme, mke na marafiki huko Congo, msifanye siri tafadhali
USSR
View attachment 3221522a
Waziri wa ulinzi ila hajui kutumia darubini ya kuwaona maadui kwa mbali. Unategemea tukapigane na akili kubwa kagame tushinde
Labda tupigane na ACT na CUF tunaowamudu
Our CIC, samia is weak, she is easily intimidated, kama anatishwa na maneno ya Lisu, Ndugai, akipigwa mkwara na Kagame, ni mishuzi tu, CDF wetu,na yeye ni mwendo wa porojo, mipasho kama machawa wa ccm, ukiona wanaficha taarifa,ujue majanga ni makubwa!Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa Kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila.
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouawa na M23 ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu, mme, mke na marafiki huko Congo, msifanye siri tafadhali
USSR
View attachment 3221522a
Ili Rwanda ipate akili, itapasa uwanja wa vita uhamie katika ardhi ya nchi yao wenyewe. Kuikalia kimya chokochoko zake katika ardhi ya DRC ni jambo ambalo halikubaliki hata kidogo.Awali kulikuwa na taarifa za mateka wa Kitanzania kwa muda mrefu vikafanyika vikao vya dharura vya SADC ikawa bila bila.
Juzi rais wa Burundi anasema anapigana pia kusaidia ndugu zake wa Tanzania huku BBC idhaa ya kiswahili iliripoti kuwa idadi ya askari wa liouawa na M23 ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania ila hapa Tanzania hakuna taarifa.
Tunaomba taarifa ili tujue maana tuna ndugu, mme, mke na marafiki huko Congo, msifanye siri tafadhali
USSR
View attachment 3221522
Thubutuni....!!Hana moto wowote ni mikwara mbuzi. Ngoja tuje na operation tall Zero.
Tanzania wanaogopa kutangaza wanajeshi wao wamepigwa na M23 maana huwa hakuna mahusiano mazuri kati ya polisi wa Tanzania na wananchi wanaodai haki zao...SADC wametoa pole kwa South Africa, Malawi, na Tanzania, kwa kupoteza askari.
..Taarifa Rasmi ya kikao cha Maraisi wa SADC ndio imetoa rambirambi hizo.
..Je, SADC nao wamekosea?
Kuna Watu hawamjui na hawaijui pia RDF.Pk ngoma ngumu
Ova
Tanzania imewahi kupeleka walinda amani nchi nyingi na haikuwahi kutangazwa idadi kamili ya waliokufa vitani.Nimeiona hiyo, Afrika kusini imewekwa wazi. Tanzania inafanya siri aidha inaogopa kutoa tamko kali kumuuudhi Kagame au haiwajali wanajeshi wake kivile hata kama wameuwawa.
Taifa lenyewe linalojimwambafayKuna Watu hawamjui na hawaijui pia RDF.
Umafia upi? Mtawauwa wale Watusi (Banyamulenge) au itakuaje?Ifike hatua ile vita ufanyike umafia mkubwa ndo itaisha hivi kutafuna unaacha wanajijenga tena, unatafuna unaacha litakuja kuwa sugu lisilotibika lisambae!
Kuficha taarifa ndio kawaida ya 🇹🇿Mamlaka za Tanzania hazijielewi kabisa
Huenda ni mmoja alie kwenda na majiNamwombea Mwana JF mwenzetu awe salama huko,
Hivi ameandika lolote huku tangu atuage anaenda vitani?
Nchi ya asali na mama!