BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

BBC: Wanajeshi waliouawa ni kutoka Afrika Kusini, Malawi na Tanzania. Hao Watanzania mbona hatuambiwi na mmefanya kimya?

Bring back our solders ..hiyo vita haituhusu sisi
Hakuna vita isiyokuhusu, hata ya Ukraina inakuhusu kwa namna moja au nyingine. By the way, huko ukraina mataifa zaidi ya 20 yameingilia kwa njia tofauti, iweje kifo cha jirani yako kisikuhusu?
 
Back
Top Bottom