luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
-
- #41
Kwa maoni yangu huyo Ruto anaonekana ni mtu smart sana kichwani, kwa maana hii yote ni kujaribu kumzuia asiwe Raisi, ni nguvu kubwa sana inatumika mpaka kutaka kubadilisha Katiba sababu yake?
mhh hiyo historia ipo kweli ? ..kama wangeungana ni na hakika mbeleni tungetengana tu ....Chanzo ni Kenyatta senior,alipoambiwa na nyerere waunganishe Kenya na Tanganyika na Zanzibar iwe nchi moja , nyerere aliona watu wamoja ,jamii moja , kabila moja yeye akaona nafasi ya kuiba mashamba ,alijua wakiungana hatapata hio nafasi ya kunyakua viwanja,angenyakua ndio maana kulingana na mapendekezo ya nyerere Kenyatta angekua rais lakini hangeiba kwa kuwango kikubwa,pili pia aliendeleza ile sera ya mkoloni ya divide and rule ,alipata upinzani baada ya Uhuru kutoka kwa odinga na ndio aweze kuongoza alitumia mbinu ya divide and rule.
Alichoandika huyo jamaa ni ukweli mtupu, wakenya wote wenye akili timamu wanalijua hilo.mhh hiyo historia ipo kweli ? ..kama wangeungana ni na hakika mbeleni tungetengana tu ....
mhh hiyo historia ipo kweli ? ..kama wangeungana ni na hakika mbeleni tungetengana tu ....
Kifungu gani cha BBI kina mzuia ruto asiwe rais?Kwa maoni yangu huyo Ruto anaonekana ni mtu smart sana kichwani, kwa maana hii yote ni kujaribu kumzuia asiwe Raisi, ni nguvu kubwa sana inatumika mpaka kutaka kubadilisha Katiba sababu yake?
Tanga tanga sai wanai support BBI bro...Kalonzo musyoka hatoki central anatoka eastern,pili katiba ya Kenya ilivyo hakuna mgombea kiti Cha urais anaweza pita bila muungano maana inasema lazima upate 50% ya wapiga kura wote na 25% kutoka kaunti 24 na lazima awe pia na mgombea mwenza .Ruto usimdharau ana nguvu na ushawishi wa hali ya juu na ndio maana Raila ameogopa kupeleka BBI bungeni maana anajua bunge linatawaliwa na Ruto. Hii nguvu yote hadi kubadili katiba ni kumzuia Ruto 2022 wameona bila kubadilisha katiba hawatamuweza.
Wacha kumtetea ruto wewe....Hakuna kiongozi serikalini anatumia bunduki kuiba ,wote wanaiba kwa hutumia akili Kama serikali ya Kenya Kuna wezi Uhuru ni mwizi namba 1 , juzi tu benki yake imepewa mabilioni ya pesa na benki kuu eti kupeana mikopo kwa wananchi , mbona benki nyengine haingepewa hio kontrakt anapewa yeye? Dadake aliiba billion tano afya house akasuply hewa , kwani huo sio wizi? Au nyie ni kengeza mnaona mengine, mengine hamyaoni? Kama tatizo lipo na ndio litatuliwe lazima muwe wakweli acheni unafiki ,huyo Uhuru wenu eti anaunganisha wakenya kwani wakenya hawaishi pamoja ? Uhasama Kati ya Kenyatta na odinga wenyewe wanajua ulianzia wapi kwa hivyo wasituhusishe wakenya ni makabila 44 Wala sio kikuyu na jaluo .
Msijifanye nynyi ni wema...Hili sasa ndio tatizo la Kenya, kila kabila linatengeneza " coalition" ambayo inaunga mkono mtu wao, hivi vikao vya aina hii vinazidi kuigawa nchi kwa misingi ya ukabila na maeneo.
Kama alivyowashauri Prof. Kabudi, katika hili, Kenya mnapaswa kuja kujifunza jinsi Nyerere alivyoweza kuushinda ukabila, hai kuwa kazi ndogo, alipambana sana. Makundi kama haya, Nyerere angeyakataa.
Achana na ujinga wa watu wachache huku social networks,Msijifanye nynyi ni wema...
Tanzania pia si mmegawanyika kw misingi ya vyama...
Utakuta region flani ni ccm tu, kw mfano chadema utawapata northern tanzania
Njoo na wewe mtaani unionyeshe hao watu waliogawanyika kutokana na misingi ya kikabila nikulipeAchana na ujinga wa watu wachache huku social networks,
Kuja huku mitaani unioneshe hao watu waliogawanyika kama nyie mlivyogawanyika Kutokana na ukabila.
Nenda YouTube ukamsikize nyerere,ingekua vigumu kutengana maana ule muungano ambao nyerere alikua anautaka sio Kama huu wa Tanzania bara na Zanzibar, ule ungekua imara kabisa chini ya rais mmoja na hata haingeitwa muungano,huu muungano wa Tanzania bara na Zanzibar ulitokea baada ya kenya kukataa ndio nyerere akaona sio vyema Tanganyika iimeze Zanzibar ndio akawapa Uhuru kiasi.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Ubongo ni muhimu sana 😬😬😬 i wish ungekuwa nao angalau hata mmoja tu ila ndio hivyo tena.Njoo na wewe mtaani unionyeshe hao watu waliogawanyika kutokana na misingi ya kikabila nikulipe
Baada ya uchaguzi wa 2015Msijifanye nynyi ni wema...
Tanzania pia si mmegawanyika kw misingi ya vyama...
Utakuta region flani ni ccm tu, kw mfano chadema utawapata northern tanzania
Wacha kujitia ujinga hapa, chadema wako na region yao...Baada ya uchaguzi wa 2015
1)Arusha
CCM wabunge 7, Chadema 4
Kilimanjaro, CCM 3, Chadema 6
Onyesha regional gani yenye wapinzani wengi?
Imekuingia sio, ukitaka tusi haswa..Ubongo ni muhimu sana [emoji51][emoji51][emoji51] i wish ungekuwa nao angalau hata mmoja tu ila ndio hivyo tena.
Me too ,kama hakuna fresh blood kama Bobbi Wine sipigi kura,Wacha kumtetea ruto wewe....
Wote ni wezi...
Uhuru hafai
Ruto hafai
Raila ndio kadhalika
Nitapigia kura kitu fresh mara hii, hzo familia nazifyekelea mbali
Mi nashngaa bado kuna watu wanamfagilia rutto...kw lipi haswa, km ni uhuru na raila kwishnehi...BBI imewapiga chenga, labda mmoja apiganie urais na mwengine ajishushe hadhi apiganie ubunge ndipo aone km atakua waziri mkuu hewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me too ,kama hakuna fresh blood kama Bobbi Wine sipigi kura,
Hawa wote wa sahii ni manuguu tu
Kwa nini unamention Odingas family pekee.Simshutumu yeyote kulingana na eneo lake la kuzaliwa ,tembea angalau Kenya ujione uwe na first hand information sio hizi za mtandao na ambazo hazina ukweli ,tatizo la Kenya linaletwa na familia mbili , familia ya odinga na Kenyatta ile siku wataacha siasa haswa odingas family kenya itatulia ,huu umwambafai mwambafai wa hizi jamii mbili ya kikuyu na luo ndio mwiba kwa Kenya .
Jamaa yangu kamata Matatuz hapo kama hutakuta Makanga wanaitisha kilugha mida hiiNjoo na wewe mtaani unionyeshe hao watu waliogawanyika kutokana na misingi ya kikabila nikulipe
Mjiandae JOMO junior anatengenezwanl kurithi kiti miaka ijayoSimshutumu yeyote kulingana na eneo lake la kuzaliwa ,tembea angalau Kenya ujione uwe na first hand information sio hizi za mtandao na ambazo hazina ukweli ,tatizo la Kenya linaletwa na familia mbili , familia ya odinga na Kenyatta ile siku wataacha siasa haswa odingas family kenya itatulia ,huu umwambafai mwambafai wa hizi jamii mbili ya kikuyu na luo ndio mwiba kwa Kenya .