BBI itaisha lini? Kila siku kwenye taarifa za habari ni hii hii tu na corona

BBI itaisha lini? Kila siku kwenye taarifa za habari ni hii hii tu na corona

Magema Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2020
Posts
1,299
Reaction score
1,197
Helow KENYA, hivi huu mchakato wenu wa bbi utaisha lini? Nini kinafanya msikubaliane mapema?

Mmenichosha kila siku kusikiliza habari zenu za bbi,mnamchosha dankan maiche bure. Tafteni suluhu mapema, kama nchi imewashinda jiungeni kama Zanzibar!
 
Ukiona nchi inapilika nyingi hasa za kidemocrasia na uboroshaji wa katiba ujue hiyo nchi ipo darajani kuelekea nchi ya ahadi. Nchi ya ahadi ipo hapo hapo nchini kwako ila kuishi "kiahadi na asali "ni kuishi Kikatiba yenye misingi ya democrasia. Go Kenya,
 
😁😁😁
43219087.jpg
 
Unatafuta nini kwenye taarifa za Habari za Wakenya? Suluhisho rahisi kama inakukera usiangalie chaneli za Kenya
 
Kenya ni kama burundi tu tofauti ni majina tu😁😁

Shugulika na news za taifa lako na uache kiherehere.

Tanzanians ni kupenda wanapenda kenya news ama ni nini? Kufuata fuata Kenya news inawasaidia na nini? Kwa sasa media's na mabloggers wa taifa lenyewe wamekaliwa hadi hakuna kitu chenye wanaweza kuchapisha kuhusu serikali ya makufuri.
 
Helow KENYA, hivi huu mchakato wenu wa bbi utaisha lini?? Nini kinafanya msikubaliane mapema?
Mmenichosha kila siku kusikiliza habari zenu za bbi,mnamchosha dankan maiche bure. Tafteni suluhu mapema, kama nchi imewashinda jiungeni kama zanzibar!!

Kenya bhanaaa
Mimi ata News sionangi.....BBI imefika wapi..nipe taarifa🤔🤔🤔
 
Shugulika na news za taifa lako na uache kiherehere.

Tanzanians ni kupenda wanapenda kenya news ama ni nini? kufuata fuata Kenya news inawasaidia na nini?. Kwa sasa media's na mabloggers wa taifa lenyewe wamekaliwa hadi hakuna kitu chenye wanaweza kuchapisha kuhusu serikali ya makufuri
kenya ndio maaa mnaitwa KINYA😁😁
 
Mimi ata News sionangi.....BBI imefika wapi..nipe taarifa
Mimi mwenyewe sijui imefikia wapi. Nilifatilia mzozo wote wa Azabaijan na Armenia kule Nagorno-Karabahk na wa Tigray-ET pia. Hadi na maandamano ya Belarus na sasa hivi naona Bangladesh wanawahamisha wakimbizi wa kirohingya hadi kwenye kisiwa flani hivi matata. Hayo yote kisa nilichoshwa zamani na kelele zao za BBI. Nangoja ifike kwenye referendum nikapige kura yangu ya NO.
 
ufike wapi wakati kila siku kona kona tu hamna cha maana yani😠
Waaaah ...too bad. Personally I don't support the shiet. I feel we are over represented. Actually I believe in winner takes all....kesi baadaye!!!
 
Waaaah ...too bad. Personally I don't support the shiet. I feel we are over represented. Actually I believe in winner takes all....kesi baadaye!!!
you know what,Kenyan you have to change your mind now, its time to wake up. Don't sleep, its time to talk to ur gvmt
 
Back
Top Bottom