BBI itaisha lini? Kila siku kwenye taarifa za habari ni hii hii tu na corona

BBI itaisha lini? Kila siku kwenye taarifa za habari ni hii hii tu na corona

Mimi mwenyewe sijui imefikia wapi. Nilifatilia mzozo wote wa Azabaijan na Armenia kule Nagorno-Karabahk na wa Tigray-ET pia. Hadi na maandamano ya Belarus na sasa hivi naona Bangladesh wanawahamisha wakimbizi wa kirohingya hadi kwenye kisiwa flani hivi matata. Hayo yote kisa nilichoshwa zamani na kelele zao za BBI. Nangoja ifike kwenye referendum nikapige kura yangu ya NO.
hahahah why no mkuu wakati nasikia bbi inaumuhimu na faida kwa wa Kenya, ni kweli??
 
hahahah why no mkuu wakati nasikia bbi inaumuhimu na faida kwa wa Kenya, ni kweli??
BBI ni wazo nzuri, tena la kuunganisha wakenya na kupunguza migawanyiko ambayo huwa inashuhudiwa baada ya uchaguzi. Mwisho wa mchakato wenyewe itakuwa ni kwenye referendum(kura ya maamuzi). Ila sijapendezwa na walivyo'handle' process yenyewe na kama mkenya nina haki ya kuibwaga chini kwenye sanduku la kura. Tena signature yangu hawaipati hata kwa dawa.
 
BBI ni wazo nzuri, tena la kuunganisha wakenya na kupunguza migawanyiko ambayo huwa inashuhudiwa baada ya uchaguzi. Mwisho wa mchakato wenyewe itakuwa ni kwenye referendum(kura ya maamuzi). Ila sijapendezwa na walivyo'handle' mchakato wenyewe na kama mkenya nina haki ya kuibwaga chini kwenye sanduku la kura. Tena signature yangu hawaipati hata kwa dawa.
mi nashauri inamimieni goti , kwani yaliyopita si ndwele chamsingi angalie umuhimu wa hiyo bbi
 
BBI naisupport kwa sababu ya 35% (>1trliion shillings) budget inaenda kwa counties na WDF (ward development fund) yani ward yangu nyumbani itakua na pesa ya maendeleo imetengwa kando kila budget. That's a very good development catalyst
 
Back
Top Bottom