hahahah why no mkuu wakati nasikia bbi inaumuhimu na faida kwa wa Kenya, ni kweli??Mimi mwenyewe sijui imefikia wapi. Nilifatilia mzozo wote wa Azabaijan na Armenia kule Nagorno-Karabahk na wa Tigray-ET pia. Hadi na maandamano ya Belarus na sasa hivi naona Bangladesh wanawahamisha wakimbizi wa kirohingya hadi kwenye kisiwa flani hivi matata. Hayo yote kisa nilichoshwa zamani na kelele zao za BBI. Nangoja ifike kwenye referendum nikapige kura yangu ya NO.
BBI ni wazo nzuri, tena la kuunganisha wakenya na kupunguza migawanyiko ambayo huwa inashuhudiwa baada ya uchaguzi. Mwisho wa mchakato wenyewe itakuwa ni kwenye referendum(kura ya maamuzi). Ila sijapendezwa na walivyo'handle' process yenyewe na kama mkenya nina haki ya kuibwaga chini kwenye sanduku la kura. Tena signature yangu hawaipati hata kwa dawa.hahahah why no mkuu wakati nasikia bbi inaumuhimu na faida kwa wa Kenya, ni kweli??
mi nashauri inamimieni goti , kwani yaliyopita si ndwele chamsingi angalie umuhimu wa hiyo bbiBBI ni wazo nzuri, tena la kuunganisha wakenya na kupunguza migawanyiko ambayo huwa inashuhudiwa baada ya uchaguzi. Mwisho wa mchakato wenyewe itakuwa ni kwenye referendum(kura ya maamuzi). Ila sijapendezwa na walivyo'handle' mchakato wenyewe na kama mkenya nina haki ya kuibwaga chini kwenye sanduku la kura. Tena signature yangu hawaipati hata kwa dawa.
They are confused, Mara Corona, Mara BBI, Mara WheelbarrowsAha haaa.
Ipi kipao mbele, corona au BBI?
[emoji1787][emoji23][emoji16]
Hapa jamii forum unafanya nini? Au unadhani JF inamilikiwa na Moses WetangulaMbona sisi huku hatushughuliki na yanayotendeka kwenu?
.mbimbiai, corona, WheelbarrowsMimi ata News sionangi.....BBI imefika wapi..nipe taarifa[emoji848][emoji848][emoji848]
Niko jamii forum section ya Kenya wee bwege. Sifuatilii mambo ya bongolala.Hapa jamii forum unafanya nini? Au unadhani JF inamilikiwa na Moses Wetangula
Eti section ya Kenya, the entire JF is a Tanzanian platform..Niko jamii forum section ya Kenya wee bwege. Sifuatilii mambo ya bongolala.