Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa peak ya maisha inahusiana vipi na mambo ya kupishanisha miguu mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa peak ya maisha inahusiana vipi na mambo ya kupishanisha miguu mkuu?
Mdanganye Unique Flower sio mim babu weeeh.Endelea kuji chekesha😀😄, Sina kazi mbovu😀.
👉White slim curvy are my favorite, sio ma tank ya maji😀
Hawezi huyu kibabu kizee aisee usinitag kwa huyu kamtu kembamba kama kachujio . Mfupi kama tenga la nyanya sura mbaya kama limao anapengo kama maboboroMdanganye Unique Flower sio mim babu weeeh.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hawezi huyu kibabu kizee aisee usinitag kwa huyu kamtu kembamba kama kachujio . Mfupi kama tenga la nyanya sura mbaya kama limao anapengo kama maboboro
True kimtu kama kijini hah siwezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watsp, nime kutumia Picha yake😄🤒Mdanganye Unique Flower sio mim babu weeeh.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Weeeh thubutu hujatuma chochote 😂😂😂Watsp, nime kutumia Picha yake😄🤒
🥲🥲mkuu vioi trna kukumbushana machunguSasa hivi una cheka cheka tu😄🤣, Kama fundi bishoo na Edo kissy wanavyo lia 😄🤣🤒
Usilie Sasa😂😄🥲🥲mkuu vioi trna kukumbushana machungu
Natuma😂😂😂😂😂😂😂😂😂Weeeh thubutu hujatuma chochote 😂😂😂
Ndio chanzo kikuu cha angukoSasa peak ya maisha inahusiana vipi na mambo ya kupishanisha miguu mkuu?
SawasawaMaisha ni safari ndefu, kila mmoja ana namna au njia ambayo huitumia kufika aendako.
Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali.
👉Waswahili Wana sema kupatia, aidha iwe kazi, masomo, michezo, ndoa na hata biashara.
Katika nyakati hizo uta jiona wewe ndo wewe, bingwa wa mabingwa, Hakuna mfikiriaji anae kuzidi.
👉Basi hapo ndo kosa linapo anzia, una Anza kukosa umakini katika baadhi ya mambo.
Kwa kuona kwamba Umesha Toboa, so there is nothing else to loose.
👉 Hapa ndo starehe za ajabu kwa wengi, kupungua kwa nidhamu katika Mambo ya mlengwa.
Nidhamu inayo semewa hapa sio shikamoo, bali utimamu stahili katika kila Jambo lako.
👉Sio ulikuwa una fungua duka lako saa 12, ghafla una Anza kuweka mfanyakazi- huku wewe uki shinda nyumbani kuangalia kina ottoman bey.
Una mke au mume, ila ndo kwanza una ji introduce kwa magagulo ya mjini.
👉Ita ku cost wewe na familia yako.
At your top omba amani na utulivu, ili uweze kuona makosa na mazuri yako.
👉Kwani uki teleza kidogo tu, unaeza usi pate chance nyingine kwa wakati sahihi.
I mean no malice to nobody.
View attachment 2881572
I mean no malice to nobodySawasawa
I mean no malice to nobodywhich cantry is this?
I mean no malice to nobodywhich cantry is this?
Kwenye hiyo caption ya kusindikizia uzi, ilitakiwa miguu ya mmoja itulie katikati 😁Maisha ni safari ndefu, kila mmoja ana namna au njia ambayo huitumia kufika aendako.
Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali.
👉Waswahili Wana sema kupatia, aidha iwe kazi, masomo, michezo, ndoa na hata biashara.
Katika nyakati hizo uta jiona wewe ndo wewe, bingwa wa mabingwa, Hakuna mfikiriaji anae kuzidi.
👉Basi hapo ndo kosa linapo anzia, una Anza kukosa umakini katika baadhi ya mambo.
Kwa kuona kwamba Umesha Toboa, so there is nothing else to loose.
👉 Hapa ndo starehe za ajabu kwa wengi, kupungua kwa nidhamu katika Mambo ya mlengwa.
Nidhamu inayo semewa hapa sio shikamoo, bali utimamu stahili katika kila Jambo lako.
👉Sio ulikuwa una fungua duka lako saa 12, ghafla una Anza kuweka mfanyakazi- huku wewe uki shinda nyumbani kuangalia kina ottoman bey.
Una mke au mume, ila ndo kwanza una ji introduce kwa magagulo ya mjini.
👉Ita ku cost wewe na familia yako.
At your top omba amani na utulivu, ili uweze kuona makosa na mazuri yako.
👉Kwani uki teleza kidogo tu, unaeza usi pate chance nyingine kwa wakati sahihi.
I mean no malice to nobody.
View attachment 2881572
Watu wabunifu bhana😄🤣😂Kwenye hiyo caption ya kusindikizia uzi, ilitakiwa miguu ya mmoja itulie katikati 😁
🥹☹️Usilie Sasa😂😄