(Be forward) Bei hizi za magari mitandaoni zipo sahihi kweli?

(Be forward) Bei hizi za magari mitandaoni zipo sahihi kweli?

Ok sawa sijui kitu Ila naomba unitajie kampuni yenye Magari Bora ili na wengine tujue
Nimeagiza Gari tc-v & SBT 1. Usalama wa pesa yako (ukituma pesa Japan, mwenye halipwi mpaka gari iwe shipped) 2. Bei zao nafuu 3. Gari in mint condition
 
Si kweli hio crown iliyotajwa hapo juu na mtoa mada kodi yake kwa mujibu wa TRA ni 6.8mil uki plus gharama za clearing na nyingine tu-assume ifike hata 8.5mil.

8.5mil + CIF ya $1500 haiwezi kufika huko kwny bei za yard za mil18-20

Inshort yard ni maumivu matupu na ni kwa ajili labda ya watu waoga/wasiojua habari za ku-order online na watu wanaotaka magari fasta(uvumilivu wa kusubiri gari toka japs hawana.)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakucheki mkuu
 
Nimeagiza Gari tc-v & SBT 1. Usalama wa pesa yako (ukituma pesa Japan, mwenye halipwi mpaka gari iwe shipped) 2. Bei zao nafuu
Duuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
 
Mtoa mada ahakikishe hiyo bei ya gari mtandaoni ni CIF na sio FOB. Hiyo dola 1500 iliyotajwa ya Crown yenye namba ya utambulisho BF936053, gharama yake (kabla ya freight, bima na inspection) ni $1525. Ukiweka hizo gharama nyingine, bei yake (CIF) ni $2979, roughly sawa na Tsh 6.8mil.

Ushuru wake TRA ni Tsh 6,802,593/-. Ukiangalia bei kwa njia ya simu (smartphone) kwenye site ya Beforward, huwa unaona FOB pekee. Ili kupata bei halisi, ni hadi uombe quotation. Mimi nitamshauri mtoa mada, aagize gari toka Japan. Nilishafanya hivyo na huu ni mwaka wa 4 nalitumia. Ingawa atalisubiri kwa wiki 4-6, bado ataokoa milioni kadhaa. Hiyo ya $1600 nimeiona pia.
Nitakucheki mkuu
 
Hizo habari za kusema eti gari iliyotumika miaka zaidi ya 10 inakua na kodi kubwa si kweli kabisaaa.

Jaribu kwa mfano: toyota rav 4 2006 vs toyota rav 4 2015 zenye same specifications utapata jibu.,jaribu na other brands ujionee. Calculator ya TRA itakupa majibu mpk utashangaa.

Inshort,kodi ya gari za miaka ya karibuni ni kubwa mara dufu kuliko kodi ya magari ya zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilicheki Supra izi old model, mashine 2jzge tu haina mbwembwe, kweli hata uko Beforward ilikuwa ghali, ushuru nikaona inacheza milioni 28.
Nikacheki New model yake, ushuru ni milioni 80 kama sijakosea.

Kuna haja kweli ushuru wa hizi magari uangaliwe upya 😀
 
Duuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
Sema hii mitandao gari ndio izo izo tu naona.

Beforward nimeikuta chaser moja inauzwa bei tofauti.

Capture.PNG

NB: Usishtushwe na sura ya verossa, hio nichaser modified tu.
 
Si kweli hio crown iliyotajwa hapo juu na mtoa mada kodi yake kwa mujibu wa TRA ni 6.8mil uki plus gharama za clearing na nyingine tu-assume ifike hata 8.5mil.

8.5mil + CIF ya $1500 haiwezi kufika huko kwny bei za yard za mil18-20

Inshort yard ni maumivu matupu na ni kwa ajili labda ya watu waoga/wasiojua habari za ku-order online na watu wanaotaka magari fasta(uvumilivu wa kusubiri gari toka japs hawana.)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.
 
Kuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.

Umeshawahi kuletewa hicho kitu tofauti na ulichoagiza?
 
Back
Top Bottom