franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
Mjini mipango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be forward pia magari yao yamechoka mno.BE FORWARD bei zao zimechangamka aisee naangalia VANGUARD hapa kwao imezidi 1200 USD tofauti na TCV
Bro!!! Umeshawahi kuagiza gari be forward? Sometimes msipende kupotosha wasomaji kama hujui kitu ni Bora uwe mpole.Be forward pia magari yao yamechoka mno.
Bro!!! Umeshawahi kuagiza gari be forward? Sometimes msipende kupotosha wasomaji kama hujui kitu ni Bora uwe mpole.
Hujui unachoandikaBro!!! Umeshawahi kuagiza gari be forward? Sometimes msipende kupotosha wasomaji kama hujui kitu ni Bora uwe mpole.
Kampuni ipi ina Magari mazuri naomba unitajie boss Kwa faida ya wengine piaNi kweli gari zao nyingi zimechoka sana. Sitaki hata kuwasikia
Ok sawa sijui kitu Ila naomba unitajie kampuni yenye Magari Bora ili na wengine tujueHujui unachoandika
Nimeagiza Gari tc-v & SBT 1. Usalama wa pesa yako (ukituma pesa Japan, mwenye halipwi mpaka gari iwe shipped) 2. Bei zao nafuu 3. Gari in mint conditionOk sawa sijui kitu Ila naomba unitajie kampuni yenye Magari Bora ili na wengine tujue
Nitakucheki mkuuSi kweli hio crown iliyotajwa hapo juu na mtoa mada kodi yake kwa mujibu wa TRA ni 6.8mil uki plus gharama za clearing na nyingine tu-assume ifike hata 8.5mil.
8.5mil + CIF ya $1500 haiwezi kufika huko kwny bei za yard za mil18-20
Inshort yard ni maumivu matupu na ni kwa ajili labda ya watu waoga/wasiojua habari za ku-order online na watu wanaotaka magari fasta(uvumilivu wa kusubiri gari toka japs hawana.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuu!!Nimeagiza Gari tc-v & SBT 1. Usalama wa pesa yako (ukituma pesa Japan, mwenye halipwi mpaka gari iwe shipped) 2. Bei zao nafuu
Nitakucheki mkuuMtoa mada ahakikishe hiyo bei ya gari mtandaoni ni CIF na sio FOB. Hiyo dola 1500 iliyotajwa ya Crown yenye namba ya utambulisho BF936053, gharama yake (kabla ya freight, bima na inspection) ni $1525. Ukiweka hizo gharama nyingine, bei yake (CIF) ni $2979, roughly sawa na Tsh 6.8mil.
Ushuru wake TRA ni Tsh 6,802,593/-. Ukiangalia bei kwa njia ya simu (smartphone) kwenye site ya Beforward, huwa unaona FOB pekee. Ili kupata bei halisi, ni hadi uombe quotation. Mimi nitamshauri mtoa mada, aagize gari toka Japan. Nilishafanya hivyo na huu ni mwaka wa 4 nalitumia. Ingawa atalisubiri kwa wiki 4-6, bado ataokoa milioni kadhaa. Hiyo ya $1600 nimeiona pia.
Nilicheki Supra izi old model, mashine 2jzge tu haina mbwembwe, kweli hata uko Beforward ilikuwa ghali, ushuru nikaona inacheza milioni 28.Hizo habari za kusema eti gari iliyotumika miaka zaidi ya 10 inakua na kodi kubwa si kweli kabisaaa.
Jaribu kwa mfano: toyota rav 4 2006 vs toyota rav 4 2015 zenye same specifications utapata jibu.,jaribu na other brands ujionee. Calculator ya TRA itakupa majibu mpk utashangaa.
Inshort,kodi ya gari za miaka ya karibuni ni kubwa mara dufu kuliko kodi ya magari ya zamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hii mitandao gari ndio izo izo tu naona.Duuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
Duu hizi bei ni balaaSema hii mitandao gari ndio izo izo tu naona.
Beforward nimeikuta chaser moja inauzwa bei tofauti.
View attachment 1549843
NB: Usishtushwe na sura ya verossa, hio nichaser modified tu.
Huwa nachoka navyoona izo bei za chaser, cresta na mark 2 baloon zile za zamani. Zipo bei mbaya, yote hio inasababishwa na mashine moja ya 1jzgte.Duu hizi bei ni balaa
Kuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.Si kweli hio crown iliyotajwa hapo juu na mtoa mada kodi yake kwa mujibu wa TRA ni 6.8mil uki plus gharama za clearing na nyingine tu-assume ifike hata 8.5mil.
8.5mil + CIF ya $1500 haiwezi kufika huko kwny bei za yard za mil18-20
Inshort yard ni maumivu matupu na ni kwa ajili labda ya watu waoga/wasiojua habari za ku-order online na watu wanaotaka magari fasta(uvumilivu wa kusubiri gari toka japs hawana.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Imewahi kukutokea?Kuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.
Tc-v ukikuta tofauti unaripoti na unaweza kurudishiwa pesa yakoKuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.
Kuna kutapeliwa, pia ukionacho kwa picha mtandaoni unaweza letewa kitu tofauti kabisa, tofaut na showroom unajirisha kabisa.
Hiyo ndio bei halisi kuanzia kununua mpka kodi inafikia hapo.Crown ukijiagizia inakuja hata kwa million 12, kijana ulojaliwa elimu kidogo haifai kununua gari za yard
Sent using Jamii Forums mobile app