Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
On a serious note aka katangazo wamefluku kwa namna fulani.
Ivi ni kweli unazifananisha ndege za PW na treni ya Kigoma TRL ivi apo unajikweza au unajishusha?
Enyi watu wa matangazo watendeeni haki wateja wenu kwa kuwatengenezea matangazo yenye kuleta maana sio kejeri na maudhi.
Tena ata ukifananisha akweaye treni na akweaye ndege ni watu wa hadhi mbili tofauti I mean hizi treni za Tanzania.
A bit puzzled kwa nini waliamua kutumia ayo maneno ingawa Tz tumeshayazoea maana lipo linalosema ......the spirit of the nation.........................
Ivi ni kweli unazifananisha ndege za PW na treni ya Kigoma TRL ivi apo unajikweza au unajishusha?
Enyi watu wa matangazo watendeeni haki wateja wenu kwa kuwatengenezea matangazo yenye kuleta maana sio kejeri na maudhi.
Tena ata ukifananisha akweaye treni na akweaye ndege ni watu wa hadhi mbili tofauti I mean hizi treni za Tanzania.
A bit puzzled kwa nini waliamua kutumia ayo maneno ingawa Tz tumeshayazoea maana lipo linalosema ......the spirit of the nation.........................