Be like bro Fun Special thread

Be like bro Fun Special thread

Wakuu salama kuna hawa jamaa wanajulikana Kama be like bro kwa kweli ni kili niwapo na mawazo basi husogea kutazama post zao na huwa zinafurahisha ntajitahdi kuweka picha ili tuburudike wote wana Jf na Cartoonist huyu mtembelee Facebook kwa kusearch page ya be like bro zipo nyingi ila like ile yenye likes 7+m
Nawapenda kweli
 
Hahaha
eab03ba071585ce009dcd6701d9c3213.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahahahaha dah nimekumbuka Mwalimu wetu mmoja wa hesabu alikua haachi kipindi, siku moja matokeo ya Mock yakaja vibaya sana kwenye hesabu, basi watu walipoulizwa sababu wakasema mwalimu anaingia sana darasani apunguze.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom