BEA tishio la MR T TOUCH

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa


Kwasisi tunaofuatilia midundo ya mziki huwa tuna dil sana na watayalishaji wa hizo midundo, kwa maono yangu ninavyoona kuna anguko kubwa sana la jamaa yangu t touchiiiiii, na atakayenda kuchukua nafas yake ni ni bea

Bea anakuja vizur sana kwa kutengeneza midundo kwa sasa huyu jamaa yuko pale kili record

Kitu kingine kitakachomwangusha mr t ni zalau ambazo kaanza kuzionesha kwa wasanii baada ya kujiona yuko juu

Ni hayo tu lakin bea ni noma jamaa ana ana mabeet ya hatar kama ya mbele vile


CC MBITIYAZA

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ETI AMEANZA DHARAU KWA WASANII...ULIKUWEPO AU MANENO YA KUSIKIA??
"Alipoianza safariiiii,walimtia moyoooo;alipoonesha mafanikio,vikainuka vikwazooooo"

wivu wivu wivu
 
Hakuna kitu kama hicho.
Mtu akikua lazima abadilike kama awali alikuwa anatengeneza bure now anadai watoe chapaa basi ndiyo wanaanza kusema ana dharau
 

Watayarishaji
Dharaua
 
Mr T touch anafanya vizuri hajashuka pia Bea wa kili records anakuja kwa kasi wapo maproducer wengi tu wanafanya vizuri kwa mfano luffa wa switcher kwa Quick Rocka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe mfano wa nyimbo zake mbili....
 
Huyu BEA nmemuona kwa hemedphd kama ndio producer wa wimbo wake mpya nikawa sifahamu ni nani hasa maana jina geni kumbe anafahamika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…