Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Kwasisi tunaofuatilia midundo ya mziki huwa tuna dil sana na watayalishaji wa hizo midundo, kwa maono yangu ninavyoona kuna anguko kubwa sana la jamaa yangu t touchiiiiii, na atakayenda kuchukua nafas yake ni ni bea
Bea anakuja vizur sana kwa kutengeneza midundo kwa sasa huyu jamaa yuko pale kili record
Kitu kingine kitakachomwangusha mr t ni zalau ambazo kaanza kuzionesha kwa wasanii baada ya kujiona yuko juu
Ni hayo tu lakin bea ni noma jamaa ana ana mabeet ya hatar kama ya mbele vile
CC MBITIYAZA
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasisi tunaofuatilia midundo ya mziki huwa tuna dil sana na watayalishaji wa hizo midundo, kwa maono yangu ninavyoona kuna anguko kubwa sana la jamaa yangu t touchiiiiii, na atakayenda kuchukua nafas yake ni ni bea
Bea anakuja vizur sana kwa kutengeneza midundo kwa sasa huyu jamaa yuko pale kili record
Kitu kingine kitakachomwangusha mr t ni zalau ambazo kaanza kuzionesha kwa wasanii baada ya kujiona yuko juu
Ni hayo tu lakin bea ni noma jamaa ana ana mabeet ya hatar kama ya mbele vile
CC MBITIYAZA
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app