Kulingana na janga sisi ma-beach boy tunaotegemea utalii (mabibi wa kizungu). Tunaumbuka maana hatuna ujanja zaidi ya kutulia home na kunyoa Rasta. Tunaumbuka peupe. Nitaweka uso wangu wapi nikimaliza Akiba yangu ya mwisho hii 50 USD niliopewa na bibi wa Kiitaliano alipokuja Nungwi nikasimamia show vizuri.
OkayMkuu ushanyoa rasta tayari au bado unazo ?
Itabidi sasa uanze kulima
Gwasuma ndo nn?Hawa mabibi wa Kizungu wengine wanarudi kwao na magonjwa ya ajabu kutokana na mambo wanayoyafanya wakiw holiday. Kuna mmoja alikutwa na gwasuma na mume wake alifariki kama miaka 10 iliyopita. Alikwenda Gambia akakutana na beach boy huko miaka minne iliyopita.
Nilimaanisha Ngwasuma aka ngoma au HIV.Gwasuma ndo nn?
Tumezoea dola za bure ndugu. Ni ngumu kuvua samaki wakati Bibi wa kizungu ukimfanyia massage vizuri kukupa hata 5,000USD kitu Cha kawaida sanaBeach Boy tafuta mtumbwi uanze kazi ya kuvua na wakina Makame.
Pole Sana mabibi wamekata kuja Visiwani. Fanya mpango uwafate Ulaya kule ukawavizie beach za Ibiza, Messina na Naples.Tumezoea dola za bure ndugu. Ni ngumu kuvua samaki wakati Bibi wa kizungu ukimfanyia massage vizuri kukupa hata 5,000USD kitu Cha kawaida sana
Love you BibiPole Sana mabibi wamekata kuja Visiwani. Fanya mpango uwafate Ulaya kule ukawavizie beach za Ibiza, Messina na Naples.
Usinyoe rasta mapema