Beach Boys tunaumbuka Zenji, Wazungu hawaji

Beach Boys tunaumbuka Zenji, Wazungu hawaji

Kulingana na janga sisi ma-beach boy tunaotegemea utalii (mabibi wa kizungu). Tunaumbuka maana hatuna ujanja zaidi ya kutulia home na kunyoa Rasta. Tunaumbuka peupe. Nitaweka uso wangu wapi nikimaliza Akiba yangu ya mwisho hii 50 USD niliopewa na bibi wa Kiitaliano alipokuja Nungwi nikasimamia show vizuri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1317]Tafuta msikiti usali baba, umefanya maasi mengi kwa show
 
Hawa mabibi wa Kizungu wengine wanarudi kwao na magonjwa ya ajabu kutokana na mambo wanayoyafanya wakiw holiday. Kuna mmoja alikutwa na gwasuma na mume wake alifariki kama miaka 10 iliyopita. Alikwenda Gambia akakutana na beach boy huko miaka minne iliyopita.
 
Hawa mabibi wa Kizungu wengine wanarudi kwao na magonjwa ya ajabu kutokana na mambo wanayoyafanya wakiw holiday. Kuna mmoja alikutwa na gwasuma na mume wake alifariki kama miaka 10 iliyopita. Alikwenda Gambia akakutana na beach boy huko miaka minne iliyopita.
Gwasuma ndo nn?
 
wakodisha miili hamna tofauti na machangudoa. siku mabibi wakikosekana na wakipatikana ma babu mtasirwaa. fanyeni kazi
 
Njoo huku Bongo maeneo ya Makumbusho na Mwenge uwe unawapaka rangi za kucha dada zetu na kusokota dredi. Unaweza ujapata jimama la kukulea, ukapewa Iphone macho 3 na Usafiri.
 
Back
Top Bottom