Beach Boys tunaumbuka Zenji, Wazungu hawaji

Beach Boys tunaumbuka Zenji, Wazungu hawaji

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Kulingana na janga sisi ma-beach boy tunaotegemea utalii (mabibi wa kizungu). Tunaumbuka maana hatuna ujanja zaidi ya kutulia home na kunyoa Rasta. Tunaumbuka peupe. Nitaweka uso wangu wapi nikimaliza Akiba yangu ya mwisho hii 50 USD niliopewa na bibi wa Kiitaliano alipokuja Nungwi nikasimamia show vizuri.
 
Kulingana na janga sisi ma-beach boy tunaotegemea utalii (mabibi wa kizungu). Tunaumbuka maana hatuna ujanja zaidi ya kutulia home na kunyoa Rasta. Tunaumbuka peupe. Nitaweka uso wangu wapi nikimaliza Akiba yangu ya mwisho hii 50 USD niliopewa na bibi wa Kiitaliano alipokuja Nungwi nikasimamia show vizuri.
Ni zamu yenu kwenda Italy sasa
 
Nyie ndo mnaoitwa Tomb* Nitoke kule Bagamoyo?

Ukute mabb wengi wameondoka na Corona huko Ulaya, daah pole man


Alexander
 
Back
Top Bottom