Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Timu ya mpira wa miguu wa Ufukweni ya Tanzania imetwaa ubingwa wa michuano maalum ya Beach Soccer ya Copa Dar Es Salaam 2018 baada ya kuichapa Uganda 2-1 kwenye mchezo wa fainali
Nafasi ya tatu imekwenda kwa Shelisheli ambayo imeifunga Malawi kwa penati 4-3 baada ya sare ya mabao 8-8
Tanzania inachukua ubigwa ikiwa inajiandaa na michuano ya AFCON ya Ufukweni yatakayoanza kutimua vumbi Desemba mwaka huu nchini Misri
Michuano hiyo ilikuwa inafanyika jijini Dar katika uwanja wa Coco Beach ikihusisha nchi nne za Tanzania, Uganda, Malawi na Seychelles(Shelisheli)
Nafasi ya tatu imekwenda kwa Shelisheli ambayo imeifunga Malawi kwa penati 4-3 baada ya sare ya mabao 8-8
Tanzania inachukua ubigwa ikiwa inajiandaa na michuano ya AFCON ya Ufukweni yatakayoanza kutimua vumbi Desemba mwaka huu nchini Misri
Michuano hiyo ilikuwa inafanyika jijini Dar katika uwanja wa Coco Beach ikihusisha nchi nne za Tanzania, Uganda, Malawi na Seychelles(Shelisheli)