Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Desktop chafu mno, hata pa ku click ili uli refresh hamnaSinaga habariView attachment 1280118
Hii nimeielewa naomba jina la Hiyo wallpaper au namna yakuipata ikiwa hivyo hivyo na HD resSomebody hua ananiazima ka pc kake nacheki muvi... jana nimempangia vizuri Desktop icon. Kapenda sana.
Basi tuone yakwako ulivyopangilia..
Cc Wick View attachment 1280113
Nitumie hata kwa link ya google drive, kwa kusearch tu nitakeshaTafuta gugo huko utapata...
Sachi best wallpapers
windowMuvi mbona hazisomeki majina?
Unatumia window au Ubuntu
Mbona natumia button ya F5 ktk keybord kurefreshDesktop chafu mno, hata pa ku click ili uli refresh hamna
uwe na external isiyopungua 8TB ndio utaweza fanya exchange otherwise,utakua una copy movie huku ukisononeka daaah hiii nyingine daaah yani utasema daaah daaah nyingi sana maana hutoelewa uache nn ubebe nn.Ok nimeona..
Nilitumia app nikaja kwenye free basic nikaona.. nimependa muvi zako i wish tungechange
Hongera mm mwanzo nilikua nimeweka hii ila haikua na kwariti nzuri nikaitoa..Nimejitahidi kucopyView attachment 1280164
Nachukua chache tu sio kila muvi nachukua..uwe na external isiyopungua 8TB ndio utaweza fanya exchange otherwise,utakua una copy movie huku ukisononeka daaah hiii nyingine daaah yani utasema daaah daaah nyingi sana maana hutoelewa uache nn ubebe nn.
Msalimie Joyce!Hongera mm mwanzo nilikua nimeweka hii ila haikua na kwariti nzuri nikaitoa..
Huu ni uzi wa wenye wanamiliki Tarakinishi, je nawewe unayo..??Mhh! Me zangu ziko ziko tu