Beatrice Muhone

Beatrice Muhone

Ntambaswala

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2008
Posts
255
Reaction score
78
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.

Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.

Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?
 
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.

Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.

Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?

Pole sana ndugu yangu. Jambo moja muhimu- TUMUOMBEE!
 
I believe in INTERIORITY. It is good to appear awesome but also it is good to behave in a moral manner!
 
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.

Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.

Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?

mkuu, hata mie ni mpenzi sana wa nyimbo za injili na nilishamshtukia............... kujibu nini kilimpata ni simpo sana............ alipatwa na tamaa ya pesa........ na dhani na umasikini ulimtia majaribuni, aliona nageimba na kwaya ya shangilieni, mapato yangeenda kanisani na yeye kubaki akimtukuza Mungu kama wito............ so akaona ajaribu ujasiriamali katka gospel music ambapo mapato yaliyosalimika mikononi mwa promota yataangukia mikononi mwake pekee na atakuwa na hiyari ya kuwagawia wanenguaji wake kadiri navyoona inafaa................ ugonjwa huu ndio unaowakumba wainjilisti wengi amabo hujidai wanaanzisha huduma zao binafsi za kuhibiri injili na baadaye kizigeuza huduma hizo kuwa makanisa na/ama madhehebu huru....................... nakubaliana na ushauri wa kuwaombea.............. lakini zaidi sana sisi wenyewe tuwe macho............ ni nyakati za mwisho hizi......................
 
I believe in INTERIORITY. It is good to appear awesome but also it is good to behave in a moral manner!

mkuu umesahau kitu kimoja............ kimtokacho mtu mwilini (kinywani) mwake ndicho kiujazacho moyo wake!!!................. akiamini katika vitu vya nje ili kuuza CD zake, basi hayo ndiyo yaliyoujaza moyo wake!.............. je, atapata thawabu gani??...................... hapo sasa.....................
 
sijamuona alivyobadilika...so i cant coment on that...ila sio siri katika wadada wanaoimba injili...nampenda sana huyu dada,wimbo wake kijito cha utakaso,si njia rahisi etc...huwaga nasikilizaga mpk nalewa!anaimba sana jamani...
 
mkuu umesahau kitu kimoja............ kimtokacho mtu mwilini (kinywani) mwake ndicho kiujazacho moyo wake!!!................. akiamini katika vitu vya nje ili kuuza CD zake, basi hayo ndiyo yaliyoujaza moyo wake!.............. je, atapata thawabu gani??...................... hapo sasa.....................
Asante mkubwa, nakubali!
 
sijamuona alivyobadilika...so i cant coment on that...ila sio siri katika wadada wanaoimba injili...nampenda sana huyu dada,wimbo wake kijito cha utakaso,si njia rahisi etc...huwaga nasikilizaga mpk nalewa!anaimba sana jamani...

wala ule sio wimbo wake.................. kadesa tu ............. yaani ni mjasiriamali wa kidunia per se..................inaonekana huzijui nyimo za injili..................
 
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.

Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.

Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?

kuna mahali maandiko yanasema ukimsifu Mungu uwe kama wazimu? Musa aliambiwa 'enenda kwa watu wako, ukawatakase leo na kesho,wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu, maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote' ref: kut 19:10, hii inaelezea kuwa Mungu anapenda watu wasafi na walio smart...nadhani umenielewa
 
wala ule sio wimbo wake.................. kadesa tu ............. yaani ni mjasiriamali wa kidunia per se..................inaonekana huzijui nyimo za injili..................

hizo chache nanzozijua na kuzipenda zinanitosha!!...huyo aliyeimba hizo nyimbo mbili ni nani kama sio beatrice muhone???
 
kuna mahali maandiko yanasema ukimsifu Mungu uwe kama wazimu? Musa aliambiwa 'enenda kwa watu wako, ukawatakase leo na kesho,wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu, maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote' ref: kut 19:10, hii inaelezea kuwa Mungu anapenda watu wasafi na walio smart...nadhani umenielewa

Mkuu nimekupata,
Ile sketi aliyovaa mbele fupi nyuma ndefu imevuka kiwango- labda vizuri uangalie mkanda wa shangilieni kisha ulinganishe yaani mabadiliko ni makubwa sana ila nachoshukuru meneja wake ni mume wake labda hiyo inaweza kusaidia kumdhibiti. Sijapoteza imani kwake kwasababu nilikuwa namkubali sana- labda kama alivyosema mwenzetu mmoja TUMUOMBEE kama hajaingia majaribuni asiiingie na kama kaingia basi atoke huko
 
hizo chache nanzozijua na kuzipenda zinanitosha!!...huyo aliyeimba hizo nyimbo mbili ni nani kama sio beatrice muhone???

tafuta nawe utapata............... maana kila abishaye hufunguliwewa naye atafutaye huona............... acha uvivu.............. hizo nyimbo huenda ziliimbwa zamani kabla huyo mjasiriamali beatrice mhone hajazaliwa....................
 









Ipo mistari fulani katika moja ya Album yake anamsukuru Mumewe Godfrey Muhone..hope bado ni Mumewe hasa..but has gone long way to tell.
 
Last edited by a moderator:
kuna mahali maandiko yanasema ukimsifu Mungu uwe kama wazimu? Musa aliambiwa 'enenda kwa watu wako, ukawatakase leo na kesho,wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu, maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote' ref: kut 19:10, hii inaelezea kuwa Mungu anapenda watu wasafi na walio smart...nadhani umenielewa

umecharukia maandiko usiyoyajua!!!!!!!!!!........... Mungu angekuwa anataka watu wawe smart, nadhani Yesu angekuwa "bishoo" kuliko wote na hata msalabani angepanda na suti.................. jifunze kwanza umjue Mungu na tabia zake kabla hujaanza kuhubiri................ rejea tena mara nyingi sana imeandikwa kuwa mavazi yazunguzwayo sio ya nje wala vidani vya dhahabu, bali moyo safi uliopondeka, ndio ambao Bwana hataudharau.................
 
Naye ni binadamu tu k wengine.wala usishangae.Watu wengi sn wajifanya wako wanafuata Mungu, kumbe wapi.WIZI MTUPU.KILA SIKU WANAJAA MISIKITINI NA MAKANISANI kwa inje ni watu lakini ndani mwao ni Mbwa mwitu wakali.Mungu atusaidie.
 
tafuta nawe utapata............... maana kila abishaye hufunguliwewa naye atafutaye huona............... acha uvivu.............. hizo nyimbo huenda ziliimbwa zamani kabla huyo mjasiriamali beatrice mhone hajazaliwa....................

wacha shobo mtoto wa kike,kama unajua nani kaimba si uweke hapa???
 
hizo chache nanzozijua na kuzipenda zinanitosha!!...huyo aliyeimba hizo nyimbo mbili ni nani kama sio beatrice muhone???
kwa kweli mie siijui nyimbo yake original maana zote ametoa ktk kitabu cha nyimbo za injili cha lutheran,bwana yesu yuko wapi,kijito cha utakaso n.k.sio mbaya lkn anaimba vizuri na hayo mabadiliko yake siyajui!ukimtukuza mungu haimaanishi ujiweke kijima.
 
mpwa wangu akili kichwani mbona leo una hasira?
AU NI STRESS ZA BOX NA JUNK-FOOD?
 
Back
Top Bottom