Wanaume wa kizazi hiki Wako na inferiority complex
Basi hongera zake, kama tam ina mmoja tu anayeishughulikia na skendo hakuna basi tuendelee kusikiliza tenzi zake🤣Uzi una wiki hapa jukwaani Hana file jeusi,,,,nadhani hamna shida sana
Sure
Uzi una wiki hapa jukwaani Hana file jeusi,,,,nadhani hamna shida sana
Ndio hapo sasa...naamini wengine ndoa zao ziko imara kabisa
Kama Kuna shida kidogo sio mbaya,yeye ni binadamu hawezi kosa madhaifu ....Ofkoz "hamna shida sana" but kuna shida kidogo... sana vs. kidogo.
I have a 'black file' kumhusu Bite.
But I will never blow it up, coz watertight privacy is what every human deserves at highest level.
-Kaveli-
Hakunaga kama R Muhando hapa nchini
Kama Kuna shida kidogo sio mbaya,yeye ni binadamu hawezi kosa madhaifu ....
Nasema hivi tena, hakunaga kama Rose Muhando hapa nchini, ukishasema Tenzi hizo siyo nyimbo zake huyo dadaUko sawa kabisa,ila sio kwenye Tenzi.....Rose ana touch zake,Rose ana tungo zake,Rose ana vibe zake very personal... Tatizo mcharukooo
Maahangazi yana pepo yao haswa ukute lenye mkia wa wastaniKijana anawaza mashangazi tu[emoji1787]