Screenshot hii comment yako, kisha mtumie. Na Mungu akubariki.Sasa hawezi kushindana na wakati,wakati ni ukuta......
Mtu yeyote anayepitia magumu, achukue huu wimbo. Ajifungie ndani, aweke sauti ndogo pasipo na kelele.Ana nyingine kali inaenda kwa jina la "bwana Yesu uko wapi"
Why wao!?? Nitajie mwimba gospel mwanamke mwenye ndoa!Kwa kuwa nao ni binadamu sio malaika
Msanii ni msanii tu bro..ila nandy kawapiga baoHivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Tumuombee..Msanii ni msanii tu bro..ila nandy kawapiga bao
I don't gossip.. i like her tooSio lengo langu kwenye Uzi huu kugossip maisha ya watu,lengo la Uzi huu ni kumpa hongera mwimbaji anayeiburudisha nafsi yangu.
Ohh...nausikiaga tu...asante st anna wine🥰😆Unamjua ila hujui kama ndo kaimba nyimbo hizo
Wimbo wake common uliomfanya watu wengi waanze kumjua ni huu
Kumbe ni kwa Neema tu
View: https://youtu.be/iLZEvUaEWxY
Naye kaachika?? Duh...kuna pepo anawanyemelea hao waimbaji basiYupo
Amerudi tena japo hasikiki kama mwanzo.
Zamani alikuwa anaitwa Neema Mushi,
Sijui baada ya mambo kwenda kombo akarudia ukoo wake Mwaipopo
Ni zamani sanaNaye kaachika?? Duh...kuna pepo anawanyemelea hao waimbaji basi
Ni watiifu sana 😂😂 sisi ni malast born wake ujuiLinapokuja suala la IMANI nadhani Mungu amewapendelea sana!
Picha yake hii inafaa kabisa kupelekwa jukwaa lileeeeeee 😄lishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu😋
hahaa, pepo tokaa
hapana aisee ntajiskia vibaya😂Picha yake hii inafaa kabisa kupelekwa jukwaa lileeeeeee 😄