Americans are known for being conservatives. Hivi wamewahi kufika Babati kwa Wambulu, Kondoa kwa Warangi au Sikonge kwa Wanyamwezi? Halafu kuna ka nchi kadogo tu kanaitwa Rwanda, kuna wanawake warembo usipime. Ethiopia je?
Halafu kuna visiwa vya FIJI...Huko wakati biashara ya utumwa inapigwa marufuku, baadhi ya meli zilizokuwa baharini na watumwa wa kutoka Afrika zilikwenda na kuwabwaga pale. Wakakutana wa wenyeji wa hapo, wakaanza kuzaana kwa damu mchanganyiko. Yaani usipime, kuna watu wazuri humu duniani. Halafu wanazungumzia Hollywood, Hollywood my foot!
Ama kweli hawa jamaa wanacheza. Wanaambiwa tembea uone, hawataki! Kuna sehemu humu duniani kuna ''uumbaji uliotulia na kutukuka''.