Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupenda sana ila sina ubavu wakutaka kukuona[emoji126]
Mshana. Tujuane kaka. Mimi Niko mizani hapa Msata. Itakua wewe ni yule traffic ofisa mnoko ? Au uko humu kwenye kibanda cha mizani ?Asante hakuna shida kabisa napatikana Msata na Dar
Amen [emoji120][emoji106] [emoji115] [emoji23] nawaombea sana
Hongera kwa ushindi mnono wa jana [emoji4]Shukrani Mkuu Mshana.
Huyo mtu atakayenionesha kwanza nitamchukiaHata akiwa kwa mbali mtu akikuonyesha kwa kidole yuleeeee ndiye Mshana.
[emoji6] [emoji6] [emoji124][emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji144] [emoji115]
Uchawi wako huko huko mie niliaga usukumani tena gamboshi[emoji124] [emoji12] [emoji101][emoji13] [emoji14] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji85]